ngoshwe JF-Expert Member Joined Mar 31, 2009 Posts 4,141 Reaction score 950 Oct 4, 2012 Thread starter #21 Mtagwa lindi said: sijaona kinywaji Click to expand... kum a a nisha nini? huoni kaunta pana nini? kama ameingia ndo anaagiza au amemaliza kunywa utajuaje ??
Mtagwa lindi said: sijaona kinywaji Click to expand... kum a a nisha nini? huoni kaunta pana nini? kama ameingia ndo anaagiza au amemaliza kunywa utajuaje ??
TIQO JF-Expert Member Joined Jan 8, 2011 Posts 13,786 Reaction score 2,102 Oct 4, 2012 #22 Ametega vichwa
grafani11 JF-Expert Member Joined May 24, 2011 Posts 15,441 Reaction score 5,820 Oct 4, 2012 #23 Chitemo said: Kuna mwingine kule songea anavaaga hivyo huku akiwa kwenye foleni ya KITIMOTO, nimewahi kufuatilia history yake nikaambiwa ni mkristu pure lakini anaficha kovu kubwa la moto alioungua kuanzia kisogoni mpaka mashavuni. Click to expand... Kuna mdada anafanya kazi shirika moja nyeti sana nchi hii lililo na ofisi zake Mikocheni, anavaa kama huyo kumbe anaficha mvi kichwa kizima.
Chitemo said: Kuna mwingine kule songea anavaaga hivyo huku akiwa kwenye foleni ya KITIMOTO, nimewahi kufuatilia history yake nikaambiwa ni mkristu pure lakini anaficha kovu kubwa la moto alioungua kuanzia kisogoni mpaka mashavuni. Click to expand... Kuna mdada anafanya kazi shirika moja nyeti sana nchi hii lililo na ofisi zake Mikocheni, anavaa kama huyo kumbe anaficha mvi kichwa kizima.