last yr nilimpata bint1 nikadum nae kwa mda wa 2mth akasema hahitaj tena kua nami kisa cjib sms kwa wakat japo niko online nikamsih coz ov bze na job hakunielewa tuka achana bt last wk kaanza kunipigia cm sms za mahaba na mipango ya kimaisha kibao mara naitwa mme wangu, cjui analengo gan kwangu wana jf