figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Nimetokea kumpenda msichana fulani ambaye kanivutia sana.nikamtongoza akakubali kuwa mpenzi wangu.sasa tatizo nalipata hapa,kila akija getto tunapiga story kama kawaida tunachezeana bila nominenga. lakini ikifika wakati wa ku do nikamuomba tu do hakubali wala hakatai yaani hanijibu ananikodolea macho tu.hapo ndo nashindwa kumuelewa.kukaa kimya ndo amekubali au amekataa?nisaidieni jamani.nampenda sana so sitaki kumuudhi.