Huyu binti hatari

Huyu binti hatari

Mzee wa Torano

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2014
Posts
519
Reaction score
700
ni binti mmoja hivi mkazi wa mbezi beach na mikocheni B ...anadai ana mahusiano na familia ya nyerere
inasemekana amesoma UDSM ....akazaa/kuishi na Mhadhiri mmoja wa Mlimani wakashindwana..

aliwahi kuishi na mzungu akamchomea nyumba akakimbia mtaa. ...baadae akawa anaishi na mzee mmoja hivi
ambaye akaja kumchoma visu mwili mzee huyo...

nitarudi kwa ushahidi zaidi
 
ni binti mmoja hivi mkazi wa mbezi beach na mikocheni B ...anadai ana mahusiano na familia ya nyerere
inasemekana amesoma UDSM ....aliwahi kuzaa/kuishi na Mhadhiri mmoja wa Mlimani wakashindwana..

aliwahi kuishi na mzungu akamchomea nyumba akakimbia mtaa. ...baadae akawa anaishi na mzee mmoja hivi
ambaye akaja kumchoma visu mwilini mzee huyo...maeneo ya KAWE

nitarudi kwa ushahidi zaidi
 
deo unalala jf na kushinda jf vp leo asenal mnapigwa ngapi maana uz umekaa kushoto

Mkuu mi timu yangu ni ile ambayo kocha aliyepita alistaafu na alimrithisha ndugu yake wanaotoka sehemu moja! Anazingua tu!!
 
Huu utoto wa kuandika visivyoeleweka utaisha lini
 
Kweli kuna watu walizaliwa siku ya mapumziko wakati Muumbaji kapumzika hata akili hakuwawekea.
 
Back
Top Bottom