Huyu Balozi Omar Kashera ni nani?

Huyu Balozi Omar Kashera ni nani?

Kwa hyo huyu n kitombi tu maana kuoa na kuacha sio sifa nzuri

swali n balozi au n mtumishi tu ndan ya ubalozi?

Asike kuwa anazidanganya pisi kali kuwa yeye n balozi kumbe mbeba vijarida ndan ya ubalozi
 
Ninavyojua mimi amefanya kazi balozi sita mpaka sasa kaka mtumishi wa ubalozini ,aliwekwa nje na mfumo wa kaka mzilankede sababu ya mahaba yasiyomithirika kwa babu matezi ila zaidi ana uhusiano wa kindugu na dada HAWAKUMBUKI wa huko mleba adui wa dada Irene Darton wa pale jamvini kwa mjomba Max

Mwisho namtambua kama shemeji kwa kumuoa binamu yangu na kumtariki mwaka 2016 .

Ni hayo tu
Dada yako hajapewa talaka aliondoka mwenyewe mbweni baada ya kuona jamaa kaoa yule mtangazaji. Mwamba yeye anatibgiza yeyote alite mbele yake bila kujali umri wala HIV status.
 
View attachment 3539904

Ninaomba mwenye cv ya Omar Kishera maana namwona sana mitandaoni hasa Istgaram akiunguruma na vipindi mbalimbali vya elimu kwa UMMA na kwa Taasisi binafsi.

Je, ni miongoni mwa vigogo waliowahi itumikia Tanzania wakiwa na elimu nzuri ila walifubazwa na mifumo ya nchi hii?

Je, akili zake zimerudi baada ya kutoka serikalini?

Sasa amekuja na simulizi dhidi ya Hayati Membe na yeye zinasimua kule Istagram je ni nani mwamba huyu katika diplomasia za Tanzania?

Kwa umahiri anaoonesha akiwa na sigida kwenye paji la uso seems ni waliochezewa na mfumo wetu mwishowe yupo nje ya system akitema madini

Je, ni nani mtu huyu?
Kwa hilo lisjah kuubwa kama chapati kwenye paji lake jeusi mwamba ana uhakika wa kubadilika kuwa mwarabu akifa. Hii sijdah siyo ya kawaida itakuwa aliipata kwa kutumia mionzi ya laser.

IMG_2109.jpeg

Jagina Adiosamigo

adriz de mbusii
 
Nchi hii ,imekua na ma spy uchwara tangu uhuru ,na imekua kama kurisishana , na mbaya zaidi wengi ni vilaza
Huyu jamaa hamna kitu 3 vitu anavoongea tulifundishwa na wazee watu who never gone to schools . Jamaa anajipigia hela tu kwenye masemina

Hivi at age of 35 unifundishe namna ya kutafuna. Mambo ya hovyo sana
 
Akiwa Dubai alikua anaagiza mademu bongo.

NB: Hakufikia hadhi ya Balozi kamili
Najua kuwa hakuwahi kufika hadhi hiyo ila ni lini ameacha kujitqnabaisha kama balozi ndugu ?
Alafu usije kuwa ni wewe maana mbona unanipa taarifa mujarabu zaidi

Shemeji wikiendi hii jumamosi ni hitma ya ........ fika masaki bila kukosa ikiwa itakupendeza mlamu
 
Back
Top Bottom