Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,744
Nmeshtushwa sana na mtu mmoja anasema eti Shaffih Dauda anaweza akamfikia Eddo Kumwembe. Nlimtizama nikamwambia kilimanyege kinaweza fikia urefu Kilimanjaro.
Nyie mnaona Shaffih elimu yake tu nayo ndo hivyo tiamaji tiamaji. Uwezo wake wa kujieleza ni batamaji.
Eddo kumwembe anabaki kuwa ni mwanamichezo na mchambuzi bora kabisa nyuma ya Dr leakey. Huyu hana mbishi, Shaffi Dauda apambanishwe na Salome Majogo, maana hata Ali Mayayi ni mzuri.
Nyie mnaona Shaffih elimu yake tu nayo ndo hivyo tiamaji tiamaji. Uwezo wake wa kujieleza ni batamaji.
Eddo kumwembe anabaki kuwa ni mwanamichezo na mchambuzi bora kabisa nyuma ya Dr leakey. Huyu hana mbishi, Shaffi Dauda apambanishwe na Salome Majogo, maana hata Ali Mayayi ni mzuri.