Huwa unafanya nini shule zikifungwa

Huwa unafanya nini shule zikifungwa

kaz znyewe zpo wap. kaz amna cku hz. au km unapajua znapotolewa nambie
 
kaz znyewe zpo wap. kaz amna cku hz. au km unapajua znapotolewa nambie
Wee Binty !! ivo una njaa na mwembe upo hapo umejaa embe..wewe wasubiri embe zidondoke ndiyo ule!! khaah..
chukuwa mawe/tawi upopowe zitakufikia.... !!
Achaa uvivu kama upo dar... kazi zipo kariakoo... hata ya kuuza duka, au nenda viwandani utapata masilahi..!! usiikilize wavivu wa kitaani na vijiweni au hata majumbani !! yala yala inuka ujitume.... umenipa presha wee!!
 
Kwangu kuna nafasi moja ya mtu wa mapokezi.
Kama uko tayari ni PM nikupe utaratibu.
Ni kwenye dispensary
 
Back
Top Bottom