huwa nikichoka nafanya hiviiiiii............

huwa nikichoka nafanya hiviiiiii............

Nyamuleha jr

Senior Member
Joined
Feb 20, 2013
Posts
185
Reaction score
65
Nikichoka huwa sipendi kabisa kelele ndo maana kuna muda nasikiliza empty CD! Na nikichoka sana nasoma plain papers, pia nalala huku nmecmama kuepuka kelele za godoro pale nnapo jigeuza, na wakat mwngne nina swich off TV, ndipo naangalia. yan huwa cpend kabsa kelele vp mwenzang ukichoka huwa unafanyaje?
 
nikichoka huwa sipendi kabisa kelele ndo maana kuna muda nasikiliza empty cd! Na nikichoka sana nasoma plain papers, pia nalala huku nmecmama kuepuka kelele za godoro pale nnapo jigeuza, na wakat mwngne nina swich off tv, ndipo naangalia. Yan huwa cpend kabsa kelele vp mwenzang ukichoka huwa unafanyaje?

mi cfanyi kitu kwa kuwa uwa nimechoka!!!!,,,,,,,,,eti nna rafiki yangu ye eti ua anamfkria jasmin wa kwenye mizk!!!!!!!!
 
Huyo jamaa mwongo atalalaje amesimama labda kama husinzia amesimama
 
Nikichoka huwa sipendi kabisa kelele ndo maana kuna muda nasikiliza empty CD! Na nikichoka sana nasoma plain papers, pia nalala huku nmecmama kuepuka kelele za godoro pale nnapo jigeuza, na wakat mwngne nina swich off TV, ndipo naangalia. yan huwa cpend kabsa kelele vp mwenzang ukichoka huwa unafanyaje?

Hata mimi huwa sipendi usumbufu ndo maana huwa naingiza vocha bila kukwangua...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom