Huyu mzee ni fisadi tu hana jipya. Kwanza ni mdini. Pili yupo bitter baada ya kuwekwa benchi na kuondolewa kwenye lineage ya wala nchi..thats the motives msiwe naive mazee.
Huyu mzee ni fisadi tu hana jipya. Kwanza ni mdini. Pili yupo bitter baada ya kuwekwa benchi na kuondolewa kwenye lineage ya wala nchi..thats the motives msiwe naive mazee.
Mkuu Mziwanda,
Huwa sikosi gazeti la Raia Mwema kila alhamisi, lengo kuu ni kumsoma huyu bwana. Kwa kweli ni mmoja kati ya watu wachache ambao nawapa heshima kuu nchini kwetu. Tumuombe mungu ampe maisha marefu kwani anachokifanya ni faida kubwa kwa wengi wengi
Mkuu ulimwengu anasomeka ila bado anaendelea na kaugomvi kak na mkapa na kidogo sasa anadiriki kupingana na utakatifu wa kambarage ktk maono yake ya kitawala, maana haishi kuwahukumu hawa wakuu wawili ktk kila makala zake, ni vizuri tunamsoma na kumtafakari maana mzee wetu ulimwengu kwakweli ana nyanga za mbivu kwelikweli.
Taratibu namuona anajiandaa kuanza kuishughulikia awamu ya nne baada ya kuiomba radhi awamu ya pili ambayo kwake yeye sasa anathubutu kutuaminisha kuwa ilikuwa bora zaidi kwa nchi yetu.
Wako watu watatu kwa sasa katika NCHI hi ambao wakiandika lazima niwasome. Jenerali, Mzee Mwanakijiji na Johnson Mbwambo. Sina la kufanya na maandishi yao haya ambayo kama watawala/Viongozi wangeyaelewa pengine hali ingekuwa tofauti na tuliomo kama Nchi.
Huo ni mtizamo wako, besides hakuna binadamu (aliye hai ama mfu) ambaye hana/hakuwa na upungufu duniani.
Wanachosema wadau ni kwamba Ulimwengu ana maandishi yaliyoenda shule kikwelikweli na kiukweli watanzinia wachache sana sasa hivi wanaweza kum-match jamaa katika kuandika makala za kiuchambuzi. Tunaobahatika kumsikiliza akihojiwa ama akiwa kwenye mijadala mbali mbali tunatambua hili.
Yeye kutopatana na Mkapa hakuathiri tathmini yetu juu ya maandishi yake!!
Ulimwengu is one of the very few true intellectuals that we currently have in Tanzania!!!!
Majinga utayajua tu,huwa yanajibu bila fact,kipi cha ajabu hapo.hata mpagani ni mdini,kama aliondolewa kwenye lineage ya wala nchi baada ya yeye kukataa ku collaborate anageuka kuwa fisadieee.kaazi kwerikweri
wako watu watatu kwa sasa katika nchi hi ambao wakiandika lazima niwasome. Jenerali, mzee mwanakijiji na johnson mbwambo. Sina la kufanya na maandishi yao haya ambayo kama watawala/viongozi wangeyaelewa pengine hali ingekuwa tofauti na tuliomo kama nchi.
Wako watu watatu kwa sasa katika NCHI hi ambao wakiandika lazima niwasome. Jenerali, Mzee Mwanakijiji na Johnson Mbwambo. Sina la kufanya na maandishi yao haya ambayo kama watawala/Viongozi wangeyaelewa pengine hali ingekuwa tofauti na tuliomo kama Nchi.
Huyu mzee ni fisadi tu hana jipya. Kwanza ni mdini. Pili yupo bitter baada ya kuwekwa benchi na kuondolewa kwenye lineage ya wala nchi..thats the motives msiwe naive mazee.
Yes. They are distinctive and unusual persons hasa kwenye maandiko yao.Personality cult in making...
Hata kama unachosema ni kweli basi ujue ni mipango ya nature (kama huamini katika Mungu). waweza kuita coincidence ukitaka, yaani itokee kutokuelewana ili ukweli uwekwe wazi. tunahitaji mchango wako ambao ni chanya