pia mimi huu ni mzuri zaid kwangu
Haya yote ni ubatili mtupuuuSijui nani kaimba huu wimbo natamani kujua jina lake maana sio kwa nondo hiziView attachment 1537725
Sijui nani kaimba huu wimbo natamani kujua jina lake maana sio kwa nondo hizi
View attachment 1537725
Ukweli mchunguNADHANI KAIMBA ROMA
Tatizo kubwa ni ujinga wa walio wengi akiwemo Rais Magufuli mwenyewe. Tatizo kubwa pia hawataki kujifunza. Chura ndani ya dimbwi hudhani ni ziwa. Watoke nje, waende Nairobi tu watajiona KUMBE DAR ES SALAAM wamekuwa wakiishi kwenye zizi la ng'ombe. Yaani vi daraja 2 tu makelele dunia nzima. Huu ni ushamba kweli kweli. KIJANA ANAYEMUUNGA MKONO RAIS MAGUFULI HANA AKILI ANAPASWA KUELIMISHWA.
Asante Roma. Wewe ndo msanii hakika. Historia ya Taifa hili lazima ikukumbuke!!Sijui nani kaimba huu wimbo natamani kujua jina lake maana sio kwa nondo hizi
View attachment 1537725
Mkuu siyo roma huyo ila beat ni ya wimbo wakeAsante Roma. Wewe ndo msanii hakika. Historia ya Taifa hili lazima ikukumbuke!!