Ufipa-Kinondoni
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 4,582
- 2,783
Wakuu,
Kuna watu wanasema kuteuliwa wa Catherine Ruge kuingia katika Bunge la JMT, Dodoma, haujazingatia vigezo. Wengi wanasema yule si kilema, kwanini CHADEMA wasiweke kilema kuwakilisha vilema kuchukuwa nafasi ya marehemu aliyekuwa Mbunge mlemavu?
Wengi wanasema yawezekana ulemavu wa binti huyu unajulikana kwa wakubwa tu, ndo maana wamekuwa vipofu wa kufanya maamuzi yatakayokuwa na tija kwa taifa.
Sisi kama GT tunasemaje?
Hapa nimeona mambo yake. Ni kweli kilema chake wanajua wakubwa tu?