Mbase1970 JF-Expert Member Jun 11, 2015 6,053 4,595 May 29, 2018 #1 Angalieni hii video kijana analalamika ujionee uonevu unaofanywa na vyombo vinavyotakiwa kutulinda
Mtingozi JF-Expert Member Jun 6, 2015 248 258 May 29, 2018 #2 Hii ni dharula kubwa Wallahi! Huyu ni wa kutiwa shoka la kichwa hakuna namna
macho_mdiliko JF-Expert Member Mar 10, 2008 21,697 39,396 May 29, 2018 #3 Mbase1970 said: Angalieni hii video kijana analalamika ujionee uonevu unaofanywa na vyombo vinavyotakiwa kutulinda Click to expand... Aisee jamaa umeleta hii post kiana kweli. Najua hauko serious! Imebidi nicheke.
Mbase1970 said: Angalieni hii video kijana analalamika ujionee uonevu unaofanywa na vyombo vinavyotakiwa kutulinda Click to expand... Aisee jamaa umeleta hii post kiana kweli. Najua hauko serious! Imebidi nicheke.
Mbase1970 JF-Expert Member Jun 11, 2015 6,053 4,595 May 29, 2018 Thread starter #4 Mtingozi said: Hii ni dharula kubwa Wallahi! Huyu ni wa kutiwa shoka la kichwa hakuna namna Click to expand... Kwahiyo mkuu unaunga mkono kwa Afande Muddy alivyomchapa viboko? Tangu lini sheria zinachukuliwa mikononi mwa polisi?
Mtingozi said: Hii ni dharula kubwa Wallahi! Huyu ni wa kutiwa shoka la kichwa hakuna namna Click to expand... Kwahiyo mkuu unaunga mkono kwa Afande Muddy alivyomchapa viboko? Tangu lini sheria zinachukuliwa mikononi mwa polisi?
Mbase1970 JF-Expert Member Jun 11, 2015 6,053 4,595 May 29, 2018 Thread starter #5 macho_mdiliko said: Aisee jamaa umeleta hii post kiana kweli. Najua hauko serious! Imebidi nicheke. Click to expand... Mwanzoni nilivyoiona nilicheka lakini kuna ukweli fulani wa uonevu.
macho_mdiliko said: Aisee jamaa umeleta hii post kiana kweli. Najua hauko serious! Imebidi nicheke. Click to expand... Mwanzoni nilivyoiona nilicheka lakini kuna ukweli fulani wa uonevu.
Mbase1970 JF-Expert Member Jun 11, 2015 6,053 4,595 May 29, 2018 Thread starter #6 macho_mdiliko said: Aisee jamaa umeleta hii post kiana kweli. Najua hauko serious! Imebidi nicheke. Click to expand... Sasa dunia imebadilika labda serikali ifikirie upya sheria zake labda itapunguza ubakaji
macho_mdiliko said: Aisee jamaa umeleta hii post kiana kweli. Najua hauko serious! Imebidi nicheke. Click to expand... Sasa dunia imebadilika labda serikali ifikirie upya sheria zake labda itapunguza ubakaji
Job K JF-Expert Member Oct 4, 2010 9,315 7,113 May 29, 2018 #7 Haka kalikoleta hii mada kanastahili kupigwa ban! Sasa huyo mtu wenu mbona yuko hivyo?
Mbase1970 JF-Expert Member Jun 11, 2015 6,053 4,595 May 29, 2018 Thread starter #8 Job K said: Haka kalikoleta hii mada kanastahili kupigwa ban! Sasa huyo mtu wenu mbona yuko hivyo? Click to expand... Kosa langu ni nini mkuu?
Job K said: Haka kalikoleta hii mada kanastahili kupigwa ban! Sasa huyo mtu wenu mbona yuko hivyo? Click to expand... Kosa langu ni nini mkuu?
Mbase1970 JF-Expert Member Jun 11, 2015 6,053 4,595 May 30, 2018 Thread starter #10 Joowzey said: Waislam jaman.... Click to expand... Wamefanya nini?