Huu ulikuwa wakati mzuri saana wakukikabili chama tawala 2020 lakusikitisha sasa..

beco

JF-Expert Member
May 7, 2013
1,339
782
Habari za jioni ,katika miaka yooote iliopita kwa mtazamo wangu huu ndio mwaka ambao matatizo ya kiutawala kila mtu anayashudia mwenyewe hamna haja ya kuhadithiwa kwahyo ilikuwa rahisi sana kwa upinzani kujiimarisha kupitia mapungufu yaliyopo
Lakusikitisha kuwa hiki ndio kipindi ambacho upinzani unaonekana kudorora mnoo ,hakuna mipango thabiti ya kuchukua dola,kila leo nguvu za upinzani zinazidi kupungua matatizo vyamani yamekuwa mengi mno
2005 kikwete alishinda kwa almost 80% 2010 akapoteza zaidi ya 13%

2015 magu ameshinda kwa asilimia 60 (sikumbuki vizur) lakini kipindi hichi kulikuwa na uwezekano wa kupunguza zaidi ya 15% na..kupelekea kupata arnd 40 smthng
Ila kwa upepo wakisiasa hizo hesabu sijui upinzani nauona upo icu labda km utafufuka 2019
 
Habari za jioni ,katika miaka yooote iliopita kwa mtazamo wangu huu ndio mwaka ambao matatizo ya kiutawala kila mtu anayashudia mwenyewe hamna haja ya kuhadithiwa kwahyo ilikuwa rahisi sana kwa upinzani kujiimarisha kupitia mapungufu yaliyopo
Lakusikitisha kuwa hiki ndio kipindi ambacho upinzani unaonekana kudorora mnoo ,hakuna mipango thabiti ya kuchukua dola,kila leo nguvu za upinzani zinazidi kupungua matatizo vyamani yamekuwa mengi mno
2005 kikwete alishinda kwa almost 80% 2010 akapoteza zaidi ya 13%

2015 magu ameshinda kwa asilimia 60 (sikumbuki vizur) lakini kipindi hichi kulikuwa na uwezekano wa kupunguza zaidi ya 15% na..kupelekea kupata arnd 40 smthng
Ila kwa upepo wakisiasa hizo hesabu sijui upinzani nauona upo icu labda km utafufuka 2019
na wewe unaonekana ni wale wale tu,wasiopenda maendeleo ya nchi! km wewein ccm si ukae kimyaaa??? mbona unaongea km vile hutumii akili!!
 
Ushindi wa mgawanyiko tofauti na ushindi wa umoja 2005 kikwete alikua na umoja ndani ya chama chake 2010 mgawanyiko ukaanza na swahiba wake Lowasa 2015 hapo ndo ukadhihirika kabisa huo mgawanyo ndo hizo Asilimia zilifokia hapo
Sasa 2020 inategemea umoja wa chama au makundi wakiwa na umoja ni 80% tena itajirudia
Tikalagibaho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom