Huu ukweli wanasimba lazima waambiwe

Huu ukweli wanasimba lazima waambiwe

Joined
Feb 13, 2024
Posts
85
Reaction score
211
Ndugu zangu wanasimba kucheza fainali za CAF katika hii generation sio kitu rahisi kama mnavyofikiria hizi zama sio miaka ile ya tisini mliocheza fainali za bonanza la Mashudi Abiola.

Wenzenu Yanga walijipanga na walikua na wachezaji kweli, ukiangalia kile kikosi cha yanga kilikua na experience players wliokua tayari wamecheza fainal za makombe ya CAF, walikua na Yanick mbagala, Juma Shambani, Tusila kisinda hawa wote wlikua wameshacheza fainali za CAF.

Sasa ndugu zangu ubaya ubwela wachezaji wenu fainali walizo cheza ni ni kikombe cha mapinduzi na muungano mtatoboa kweli, narudia huwezi kucheza fainali za CAF na wachezaji kama kina Mkwara, Kibu Denis, Ateba na mpanzu hata hapo mlipofika mmejitaidi sana.

Robo fainali ndio kikombe chetu wazee wa ubaya ubwela a.k.a mbuzi fc
 
Rubbish,ndio mpigwe kwenu na AL Ahli Sudani??

Simba hii hii mnayoiona sio nzuri isingefungwa na hao abadan
Wewe ni mpuuzi hao Al Ahl nao si walifungwa na yanga kwao.

Kwanza ni lini mlishawafunga hao Al Ahl bwana kolo
 
Ndugu zangu wanasimba kucheza fainali za CAF katika hii generation sio kitu rahisi kama mnavyofikiria hizi zama sio miaka ile ya tisini mliocheza fainali za bonanza la Mashudi Abiola.

Wenzenu Yanga walijipanga na walikua na wachezaji kweli, ukiangalia kile kikosi cha yanga kilikua na experience players wliokua tayari wamecheza fainal za makombe ya CAF, walikua na Yanick mbagala, Juma Shambani, Tusila kisinda hawa wote wlikua wameshacheza fainali za CAF.

Sasa ndugu zangu ubaya ubwela wachezaji wenu fainali walizo cheza ni ni kikombe cha mapinduzi na muungano mtatoboa kweli, narudia huwezi kucheza fainali za CAF na wachezaji kama kina Mkwara, Kibu Denis, Ateba na mpanzu hata hapo mlipofika mmejitaidi sana.

Robo fainali ndio kikombe chetu wazee wa ubaya ubwela a.k.a mbuzi fc
Ukweli mchungu.
 
Tutolee ushubwada....
Hao yanga waliokutana na vibonde kuanzia preliminary matches...unataka kusema nini ww..yani wale utopolo wa fainali ile ilikua ni ndondokela...
Subiri muone show za mnyama
 
Ndugu zangu wanasimba kucheza fainali za CAF katika hii generation sio kitu rahisi kama mnavyofikiria hizi zama sio miaka ile ya tisini mliocheza fainali za bonanza la Mashudi Abiola.

Wenzenu Yanga walijipanga na walikua na wachezaji kweli, ukiangalia kile kikosi cha yanga kilikua na experience players wliokua tayari wamecheza fainal za makombe ya CAF, walikua na Yanick mbagala, Juma Shambani, Tusila kisinda hawa wote wlikua wameshacheza fainali za CAF.

Sasa ndugu zangu ubaya ubwela wachezaji wenu fainali walizo cheza ni ni kikombe cha mapinduzi na muungano mtatoboa kweli, narudia huwezi kucheza fainali za CAF na wachezaji kama kina Mkwara, Kibu Denis, Ateba na mpanzu hata hapo mlipofika mmejitaidi sana.

Robo fainali ndio kikombe chetu wazee wa ubaya ubwela a.k.a mbuzi fc
Sio kombe la kina mama tena?😂😂😂
 
Ndugu zangu wanasimba kucheza fainali za CAF katika hii generation sio kitu rahisi kama mnavyofikiria hizi zama sio miaka ile ya tisini mliocheza fainali za bonanza la Mashudi Abiola.

Wenzenu Yanga walijipanga na walikua na wachezaji kweli, ukiangalia kile kikosi cha yanga kilikua na experience players wliokua tayari wamecheza fainal za makombe ya CAF, walikua na Yanick mbagala, Juma Shambani, Tusila kisinda hawa wote wlikua wameshacheza fainali za CAF.

Sasa ndugu zangu ubaya ubwela wachezaji wenu fainali walizo cheza ni ni kikombe cha mapinduzi na muungano mtatoboa kweli, narudia huwezi kucheza fainali za CAF na wachezaji kama kina Mkwara, Kibu Denis, Ateba na mpanzu hata hapo mlipofika mmejitaidi sana.

Robo fainali ndio kikombe chetu wazee wa ubaya ubwela a.k.a mbuzi fc
Nyinyi mmefikia wapi. Toa uchambuzi pande zote wewe chura Fc
 
Ndugu zangu wanasimba kucheza fainali za CAF katika hii generation sio kitu rahisi kama mnavyofikiria hizi zama sio miaka ile ya tisini mliocheza fainali za bonanza la Mashudi Abiola.

Wenzenu Yanga walijipanga na walikua na wachezaji kweli, ukiangalia kile kikosi cha yanga kilikua na experience players wliokua tayari wamecheza fainal za makombe ya CAF, walikua na Yanick mbagala, Juma Shambani, Tusila kisinda hawa wote wlikua wameshacheza fainali za CAF.

Sasa ndugu zangu ubaya ubwela wachezaji wenu fainali walizo cheza ni ni kikombe cha mapinduzi na muungano mtatoboa kweli, narudia huwezi kucheza fainali za CAF na wachezaji kama kina Mkwara, Kibu Denis, Ateba na mpanzu hata hapo mlipofika mmejitaidi sana.

Robo fainali ndio kikombe chetu wazee wa ubaya ubwela a.k.a mbuzi fc
Kila jambo lina mara ya kwanza. Hata hao kina Bangala unaojisifu nao hawakuzaliwa wameshacheza fainali.

Simba bado inajenga timu ila ina mchanganyiko mzuri wa wachezaji wenye uzoefu na wale ambao bado wanakuja. Uzuri wote wana njaa ya mafanikio.
 
Back
Top Bottom