Prince Uweri II
Member
- Jul 23, 2018
- 41
- 30
Wapendwa nianze kwa kuomba radhi kama mada hii ilisha wahi tolewa bila mimi kujua.
Nimekuwa nahangaika sana na tatizo hili la chango kwa kuamini ninalo kwani kwanza kabisa kwangu ninapokuwa na mwenza sijawahi kuweza kurudia tendo.
Sasa kila ninapotafuta suluhisho huwa naambiwa yawezekana nina chango kali sana na nimejaribu dawa nyingi hasa za kimasai lakini bado tatizo liko palepale.
Mwisho nimekuja ambiwa pengine mitishamba ninayotumia ni feki. Natamani kama hili tatizo linayo dawa ya kizungu napo nijaribu angalau nione. Saasa waungwana naomba msaada kwa atakae weza kunisaidia kwa hili. Asanteni.
Nimekuwa nahangaika sana na tatizo hili la chango kwa kuamini ninalo kwani kwanza kabisa kwangu ninapokuwa na mwenza sijawahi kuweza kurudia tendo.
Sasa kila ninapotafuta suluhisho huwa naambiwa yawezekana nina chango kali sana na nimejaribu dawa nyingi hasa za kimasai lakini bado tatizo liko palepale.
Mwisho nimekuja ambiwa pengine mitishamba ninayotumia ni feki. Natamani kama hili tatizo linayo dawa ya kizungu napo nijaribu angalau nione. Saasa waungwana naomba msaada kwa atakae weza kunisaidia kwa hili. Asanteni.