CORAL
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 2,794
- 1,792
Unakuta umenunua vi MB 30 au 40 unataka usome email au messages za muhimu whatsapp au mawasiliano muhimu lenyewe linaanza kuji update linakomba viMB kabla hujafanya ulichokusudia unakuta vumeisha. Umedisable autoupdate kwenye settings lakini lenyewe linakiuka matakwa yako. Halafu halimalizi miezi 2 linaji upate tena. Kibaya zaidi likishajiupdate ukiangalia hakuna jipya liko vilevile aaarrrrgh!