dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,936
- 8,345
Hatari sana hii mizigo na inawaua kweliNa utakufa kweli....
Chagua mzigo wako mmoja ubebe..uje ukuue..
Wakumtengeneza anapatikanaje?Tengeneza wa kwako.
Hao unaowaona hawakutengenezwa kwaajili yako.
HahahaaaaNa utakufa kweli....
Chagua mzigo wako mmoja ubebe..uje ukuue..
Sio kweliBado hujakua
Hii mizigo noma sanaHatari sana hii mizigo na inawaua kweli
Mfano huyo wakufuga kucha unaweza kumchukua ukamkata kucha. Hapo tayari unakuwa umeshamtengeneza aendane na matakwa yako.Wakumtengeneza anapatikanaje?
Siku hizi ukimwambia nakupenda atakuji, na hiki kitambi changu? Ukisema kitambi hapana ukitoe analia😅😅Mfano huyo wakufuga kucha unaweza kumchukua ukamkata kucha. Hapo tayari unakuwa umeshamtengeneza aendane na matakwa yako.
Wewe ushawahi kuumba? Nipe maujuziUmba wako na tope umuoe
Mbona kila sehem naona ni wale wale tuNenda kijijini utapata unayemtaka..hawa wadada wa mjini unapoteza muda wako tu.
Huko siwez kufika, in Jesus name na wote tuseme, amenIsifike hatua na wew ukajiona hujitaki.. Tusifikie huko
Unamchukua unafanyisha diet na mazoezi kitambi kinakata tu.Siku hizi ukimwambia nakupenda atakuji, na hiki kitambi changu? Ukisema kitambi hapana ukitoe analia😅😅
Tafuta komwe moja jikaze komaa naloPamoja na kwamba umri umeenda lakini bado sijamuona wa kumuoa.
Anayejichubua, simtaki
Asiyetoka bila makeup, simtaki
Anayefuga mikucha kama shetani, simtaki
Single mama, simtaki
Msela msela, simtaki
Asiyejua kupika, simtaki
Mpiga mizinga, simtaki
Nnayemtaka kama FS, yeye hanitaki. Kwa hiyo ninyi mnaouliza uliza ndoa lini mjue changamoto zipo nyingi mtuvumilie
Uzi tayari.
Tatizo sio kumfanyisha, tatizo ni utayari wakeUnamchukua unafanyisha diet na mazoezi kitambi kinakata tu.