Wandugu, Jana katika pita pita zangu huko YouTube nikakutana na hizi habari. Hawa jamaa wanajiita (Mula empire) TANZANIA PAYMENT
wengi ya walionipa Habari za hawa jamaa kupitia YouTube channel zao wanasema ni moja ya njia mpya ya kupata pesa mtandaoni.
Wanasema utaniunga Kwa Tsh 13000/= na utakuwa na kazi ya kutazama video za YouTube na kulipwa kwa kila video.
mambo ni mengi ila kubwa ni kuwa unaweza alika mtu na ukilipwa Tsh 2000.
Kuna vitu vingine sio hata vya kujiuliza unapuuzia tu maana unaona kabisa ni utapeli wa kijinga.
,,,, Kwenye hilo tangazo/ maelekezo ya namna ya kulipia kuna ujinga kama vile .....MUHAMALA,
.............EKA
Sina ninachokijua kuhusu Hii mishe. Mm mwenyew ni mgeni. Nigoogle nimeenda YouTube na sehem Zote ninazoweza kusearch. Naomba kufahamishishwa kama Unajua kuhusu hizi Habari