Ipananga kulwa
JF-Expert Member
- Jul 24, 2017
- 573
- 294
Habar wasaka tonge wenzangu .kama somo linavyojieleza, nliomba kaz kwenye kampuni moja kubwa hapa nchini kuptia kwa wakala wa ajiri( recruiters agents) sasa wameniita kwenye usail ila wametaka nitume kiasi cha shilling 10, O00/= ili nijaze wanitumie fom na kuahid watanirudishia pind nitakapo hudhuria ...Je ni kweli au ni matapeli? Nawasilisha.