JfBro
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 587
- 163
Hivi inakuaje mwanaume mzima unajisifia mbele za watu kua mpenzi wako kakupendea pesa? Hivi unaona raha gani upo na mwanamke ndani ndio anakupa kila kitu lakini unajua wazi kua pesa zako ndio zinamfanya awe na wewe mwanamke anakuambia i love you baby na wewe unasema i love you too.
Huku unajua angetakiwa aseme i love your money James na wewe ujibu i love you Anitha, hivi unaona raha gani kua na mke wa dizaini hiyo mke ambaye ukifa hata hujazikwa kashaanza kufuatilia mirathi. Unajua nyie watu ndio mnatuletea threads za kuchosha hapa mara nina mke/mpenzi wangu ninampa kila kitu nina kipato kizuri sana nimeenda kusoma masters nje nimerudi nikakuta mke/mpenzi wangu anagegedwa na ex boyfriend wake aliyesoma nae sekondari.. ;-)
Sasa wewe si umeondoka ukamuachia mpenzi wake ambae ni pesa? moyoni mwake anawaza pesa ndio alichofuata kwako sasa upo masomon nje ya nchi pesa anazozipenda hazina dushe ya kumtoboa unategemea nini? Lazima atobolewe na ex boyfriend uyo maana hamna jinsi ingine tena ila kama mwanamke akikupenda wewe na sio pesa au mali zako.
Hata uende kusoma Marekani ukirudi utamkuta na ugwadu wake tele anakusubiri maana uliondoka kimwili ila moyoni kwake ukabakia inakua ngumu yeye kurukaruka huku she stil feels you sana ila baba kama amependa pesa zako ukiondoka wewe ni sawa na hujawahi kuwepo kwenye life yake au umekufa maana kimwili umeenda kusoma sijui kikazi nje na moyoni kwake haupo pia sasa kwanini mtoto wa kike asitumie mihela yako.
Kutafuta penzi ambalo kwako hana lazima aliwe na ex boy wake ambae ana mapenzi na yeye na hakuna mgegedo mtamu kama wa watu wanaopendana maana utamu unajumlisha mwili moyo nafs na roho kwahiyo mtachapiwa tu na pesa zenu mtalia sana sijui nimemnunulia gari sasa nani kakuambia mapenzi ni gari? Before invention of moto cars kulikua hamna mapenzi au?
Nasema hivi kama unadhani au unaamini mapenzi ni pesa huo ni ukichaa utibiwe brother
Huku unajua angetakiwa aseme i love your money James na wewe ujibu i love you Anitha, hivi unaona raha gani kua na mke wa dizaini hiyo mke ambaye ukifa hata hujazikwa kashaanza kufuatilia mirathi. Unajua nyie watu ndio mnatuletea threads za kuchosha hapa mara nina mke/mpenzi wangu ninampa kila kitu nina kipato kizuri sana nimeenda kusoma masters nje nimerudi nikakuta mke/mpenzi wangu anagegedwa na ex boyfriend wake aliyesoma nae sekondari.. ;-)
Sasa wewe si umeondoka ukamuachia mpenzi wake ambae ni pesa? moyoni mwake anawaza pesa ndio alichofuata kwako sasa upo masomon nje ya nchi pesa anazozipenda hazina dushe ya kumtoboa unategemea nini? Lazima atobolewe na ex boyfriend uyo maana hamna jinsi ingine tena ila kama mwanamke akikupenda wewe na sio pesa au mali zako.
Hata uende kusoma Marekani ukirudi utamkuta na ugwadu wake tele anakusubiri maana uliondoka kimwili ila moyoni kwake ukabakia inakua ngumu yeye kurukaruka huku she stil feels you sana ila baba kama amependa pesa zako ukiondoka wewe ni sawa na hujawahi kuwepo kwenye life yake au umekufa maana kimwili umeenda kusoma sijui kikazi nje na moyoni kwake haupo pia sasa kwanini mtoto wa kike asitumie mihela yako.
Kutafuta penzi ambalo kwako hana lazima aliwe na ex boy wake ambae ana mapenzi na yeye na hakuna mgegedo mtamu kama wa watu wanaopendana maana utamu unajumlisha mwili moyo nafs na roho kwahiyo mtachapiwa tu na pesa zenu mtalia sana sijui nimemnunulia gari sasa nani kakuambia mapenzi ni gari? Before invention of moto cars kulikua hamna mapenzi au?
Nasema hivi kama unadhani au unaamini mapenzi ni pesa huo ni ukichaa utibiwe brother