Huu ni ukichaa

JfBro

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2014
Posts
587
Reaction score
163
Hivi inakuaje mwanaume mzima unajisifia mbele za watu kua mpenzi wako kakupendea pesa? Hivi unaona raha gani upo na mwanamke ndani ndio anakupa kila kitu lakini unajua wazi kua pesa zako ndio zinamfanya awe na wewe mwanamke anakuambia i love you baby na wewe unasema i love you too.

Huku unajua angetakiwa aseme i love your money James na wewe ujibu i love you Anitha, hivi unaona raha gani kua na mke wa dizaini hiyo mke ambaye ukifa hata hujazikwa kashaanza kufuatilia mirathi. Unajua nyie watu ndio mnatuletea threads za kuchosha hapa mara nina mke/mpenzi wangu ninampa kila kitu nina kipato kizuri sana nimeenda kusoma masters nje nimerudi nikakuta mke/mpenzi wangu anagegedwa na ex boyfriend wake aliyesoma nae sekondari.. ;-)

Sasa wewe si umeondoka ukamuachia mpenzi wake ambae ni pesa? moyoni mwake anawaza pesa ndio alichofuata kwako sasa upo masomon nje ya nchi pesa anazozipenda hazina dushe ya kumtoboa unategemea nini? Lazima atobolewe na ex boyfriend uyo maana hamna jinsi ingine tena ila kama mwanamke akikupenda wewe na sio pesa au mali zako.

Hata uende kusoma Marekani ukirudi utamkuta na ugwadu wake tele anakusubiri maana uliondoka kimwili ila moyoni kwake ukabakia inakua ngumu yeye kurukaruka huku she stil feels you sana ila baba kama amependa pesa zako ukiondoka wewe ni sawa na hujawahi kuwepo kwenye life yake au umekufa maana kimwili umeenda kusoma sijui kikazi nje na moyoni kwake haupo pia sasa kwanini mtoto wa kike asitumie mihela yako.

Kutafuta penzi ambalo kwako hana lazima aliwe na ex boy wake ambae ana mapenzi na yeye na hakuna mgegedo mtamu kama wa watu wanaopendana maana utamu unajumlisha mwili moyo nafs na roho kwahiyo mtachapiwa tu na pesa zenu mtalia sana sijui nimemnunulia gari sasa nani kakuambia mapenzi ni gari? Before invention of moto cars kulikua hamna mapenzi au?


Nasema hivi kama unadhani au unaamini mapenzi ni pesa huo ni ukichaa
utibiwe brother



 
I love your money... I love your puuuuuusi....kati!! Ngoma drooo
 
Bora shetani unayemjua kuliko malaika usiyemjua, si wanawake wote wanaochepuka hawawapendi waume/wenzi wao. Ila katika mapenzi kuna mambo matatu kupenda, kupendwa kupendana.

Wapo wanaoridhika kupenda tu ili mradi anayependswa awe tayari kuigiza na mambo yanaenda, hao hata wapenzi wao wafanye kosa wao ndo huomba msamaha hasa iwapo watawagombeza.

Lakini km unampenda mwanamke na unajua wazi anapenda pesa zako na wewe umeridhia kwa kuwa anakupa unachotaka hiyo ni chachandu ya kukufanya utafute zaidi ili uendelee kuwa na hela na uendelee kuwa naye si mambo ya shida na raha nani anapenda kulala akihesabu panya darini.
 
mwaume asie na pesa utamjua tu
kulia lia akuishi
 
Utampata wapi mwanamke ambaye hataki pesa yaani anakupendea umaskini wako? kiukweli pesa ni mbolea katika mapenzi halina ubishi ,mimi bnafsi napenda kchunwa mwanamke asipo niomba mshiko napiga chini,asipo niomba mimi atamuomba nani?...Mwanaume majukum sio kulalamika tu
 
Mirathi kufuatilia mapema muhimu manake wenye njaa ni wengi
 
Je mnapendeka au mnataka kupendwa huku vyupi mkononi
 
sijui hata nichangie nini!?kama sijaelewa hivi!!
 
Ndiyo maana mie nasemaga Kupendwa na kuoneshwa mapenzi ni vitu viwili tofauti,ni sawa na movie ya mapenzi kwamba tunaona waigizaji wakipendana kwa kuona vile vitendo lakini kiuhalisia si kweli kwamba hao waigizaji wanapendana.

Hivyo hakuna anayependa kwa sababu ya pesa ila kuna wanaoonyesha upendo ili apate hizo pesa zako.



Hivi mapenzi ya pesa nayo yanauwa?...lol
 
endeleeni kubisha tu.....zikiliwa,pesa,zenu na demu akagegedwa na mwanafunz msilete hapa vilio vyenu
 
jamaa mtoa uzi umenena ya kweli kabisa

wanakua wabishi mkuu ndio hawa wanaleta uzi zao hapa wamechapiwa na pesa wanaazoo wakizani pesa zao ndio zinazuia watu wasipige machine
 

wapo wengi mkuu usiseme utampata wapi ukisema hvo inamaanisha masikini hawana wake au wapenzzi..wewe ni dhaifu bila,pesa huwez kupata penzi ila mwanamke huyohuyo unayemuhonga kila siku kuna mtu anamtoboaa bureeeeee hampi ata miaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…