Huu ni Ugonjwa au ni nini?

Huu ni Ugonjwa au ni nini?

Moo Click

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2015
Posts
3,495
Reaction score
3,253
Wakuu Salamu ziwafikie kokote mlipo.

Kuna hii tabia mimi huwa sipendezwi nayo kwa Wadada. Unakuta uko na Mdada unaongea nae tu vitu vya msingi kabisa lakini yeye anakua anacheka cheka licha kuwa kweli ni mazungumzo na kuna kucheka kwa hapa na pale, lakini kwanini mnacheka chaka hovyo in between maongezi?

Inakua too much yani mtu anacheka cheka tu ata sehemu isiyo ya kucheka.

Hii mimi imenitokea mara mbili nyakati tofauti Mmoja alikua tu rafiki tu a kawaida na mwingine ni mtu wangu wa karibu kabisa (Girlfriend).

Je, hii hali inasababishwa na nini?
 
Washakusoma kwa ma 3

1) unapenda mtu akupe attention mda wote na akikaa na wewe unataka akae kama unavotaka wewe.

2) una hali ya kujikweza tena ya hadharani na ili asikuoneshe kuwa hapendezewi ukiweka mada zako zinapotezewa kwa cheko.

3) ulivo ndivo mtu atakavokuwa kwako,,
So mtoa mada huenda unachekagachekaga ovyo.
 
Can you please, next time you face that kind of a girl, ask for a quickie?
Everything has a solution. Only that we don't know each problem's solution, makes us think differently.

Cheers!
 
Hako kaugonjwa kanasababishwa na kutoshughulikiwa vyema kitandani, sasa na wewe kama uliwaacha hivi hivi unahitaji viboko visivyo pungua 20
Naunga mkono hoja. Kuna kademu fulani niko nako sasa kabla sijaanza kukatafuna yaani ilikua kila nikikaa nako ni kuchekacheka tuu bila sababu ya msingi.

Tangu nianze kukapelekea moto hiyo tabia imekata kabisa na sasa hivi tukikaa tunaongea mambo serious na nna mda sijakaona tena kakicheka cheka bila sababu.
 
Naunga mkono hoja. Kuna kademu fulani niko nako sasa kabla sijaanza kukatafuna yaani ilikua kila nikikaa nako ni kuchekacheka tuu bila sababu ya msingi.

Tangu nianze kukapelekea moto hiyo tabia imekata kabisa na sasa hivi tukikaa tunaongea mambo serious na nna mda sijakaona tena kakicheka cheka bila sababu.
mmh..hii kuna jamaa angu mmoja aliniambia kuwa hii inachangia pia especially kama dem atakua virgn
 
Washakusoma kwa ma 3

1) unapenda mtu akupe attention mda wote na akikaa na wewe unataka akae kama unavotaka wewe.

2) una hali ya kujikweza tena ya hadharani na ili asikuoneshe kuwa hapendezewi ukiweka mada zako zinapotezewa kwa cheko.

3) ulivo ndivo mtu atakavokuwa kwako,,
So mtoa mada huenda unachekagachekaga ovyo.
Big no nakupa Big no tena mara nyingine Big Nooo once again and again. Uliyo yasema hapo kaka hamna hata moja linalo nihusu.anyways ni maoni yako pia so your free to comment ila hapo sipo kabisa.

Mfano apo kwa attention ni kila mtu anahitaji attention inategemea na mada husika inayo zungumziwa tu huwez demand attention sehemu isiyo hitajika

Kujikweza im not kind of that person (kwanza why? and for what?) nimefunzwa kuwa humble as much as i grow up.

All in All hayo husemayo sipo apo kabisa.
 
Back
Top Bottom