Wanaohakiki Korosho wanawaambia wakulima waonyeshe mashamba + hati za umiliki wa mashamba hayo, wakishindwa kufanya hivyo korosho zinachukuliwa na Serikali na hawalipwi hata senti
Hiv huko vijijin ni Watanzania wangapi ambao wanahati za umiliki wa mashamba??