NJUGHU
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 383
- 269
Watanzania tuungane katika hivi vita vya kiuchumi kwa ajili ya vizazi vijavyo.
Kumekuwa na maneno mengi kwamba ni CCM ndio imetufikisha hapa, hakuna anaebisha maana hata wapinzani walikuwa wanaccm,kumbe tumefikishana hapa wote.
Vita hivi ni vigumu, Rais ameonyesha nia dhabiti,wapo wanadai mbona alikuwa kwenye serikali hii muda mrefu, hivi tujiulize;
-Kama yeye kondoo ndani ya mbwa mwitu angefanya nini kipindi hana mamlaka,si mbwa mwitu wangemgawana?
-Asingingevuta subira hata hiyo nafasi angeisikia kwenye radio,ukila na kipofu usimguse mkono wahenga walisema.
- Hata Mungu aliliokoa taifa la Israel kwa kumtupa Yusufu kwa wamisiri na kuwa mtawala huko,hivyo Magu ililidi apite CCM
Katika vita hivi tumuunge Rais bila kujali tutakosa au kupata lakini tusiendelee kuwa watumwa wa utajiri wetu.
Wapinzani kuna namna ya kuwakilisha mawazo yetu hata kuomba kuonana na Rais si kupitia media. Kuna wanasiasa watapoteza umaarufu wao kupitia sakata hili.
Tunaulizana viongozi wa awamu iliyopita hawajatajwa,sangara hutegwa kwa samaki mdogo kwenye ndoana!
Mahakama ya mafisadi itajaa tu.
Hii ni vita ya kizalendo.
Rais wetu kipenzi Makufuli Aluta continue.
Kumekuwa na maneno mengi kwamba ni CCM ndio imetufikisha hapa, hakuna anaebisha maana hata wapinzani walikuwa wanaccm,kumbe tumefikishana hapa wote.
Vita hivi ni vigumu, Rais ameonyesha nia dhabiti,wapo wanadai mbona alikuwa kwenye serikali hii muda mrefu, hivi tujiulize;
-Kama yeye kondoo ndani ya mbwa mwitu angefanya nini kipindi hana mamlaka,si mbwa mwitu wangemgawana?
-Asingingevuta subira hata hiyo nafasi angeisikia kwenye radio,ukila na kipofu usimguse mkono wahenga walisema.
- Hata Mungu aliliokoa taifa la Israel kwa kumtupa Yusufu kwa wamisiri na kuwa mtawala huko,hivyo Magu ililidi apite CCM
Katika vita hivi tumuunge Rais bila kujali tutakosa au kupata lakini tusiendelee kuwa watumwa wa utajiri wetu.
Wapinzani kuna namna ya kuwakilisha mawazo yetu hata kuomba kuonana na Rais si kupitia media. Kuna wanasiasa watapoteza umaarufu wao kupitia sakata hili.
Tunaulizana viongozi wa awamu iliyopita hawajatajwa,sangara hutegwa kwa samaki mdogo kwenye ndoana!
Mahakama ya mafisadi itajaa tu.
Hii ni vita ya kizalendo.
Rais wetu kipenzi Makufuli Aluta continue.