Unaitwa MVELI
Na huwa unaota juu ya mti ambao upo pair,yaani mti wa kike na wa kiume
Sasa wenyewe huota kwenye Mti wa kike,na ndio maana kwenye picha ukiangalia utaona pembeni kuna Mti wa Kiume,haujavaa VELI ila huo wa Kike ndio Umeota huo Mveli
Tatizo lake moja tu,harusi yake haiishi,veli halivuki mpaka bi harusi afe.Subiri mti jike ufe ndio na wenyewe unakufa