Huu ndo utalii

Yaani kuna nchi Mungu aliwapendelea viongozi bora na sio watawala bora.....Tanzania sijui ingekuwa sehemu kama za jangwani na watawala hawa sijui tungekuwaje????!!!
 
Yaani kuna nchi Mungu aliwapendelea viongozi bora na sio watawala bora.....Tanzania sijui ingekuwa sehemu kama za jangwani na watawala hawa sijui tungekuwaje????!!!

Tungekuwa kama mauritania
 
Borabora = Tahiti. Hawa jamaa hawataki kabisa watalii masikini.
Maldives Islands, pia, wamefuata mfumo huo.

Halafu sikuwahi kujua kama Borabora = Tahiti. Asante kwa kunifumbua
 
Sijaelewa kitu hapa,..hebu fafanueni kidogo wakuu
 
Borabora, Tahiti ni moja ya visiwa vya French Polynesia, koloni la Ufaransa.

Borabora inajulikana kama kisiwa cha "honeymoon".



 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…