Huu ndiyo ukweli kuhusu mabomu


Rubbish!
 
mnapojadili mambo mazito msiingize mizaha na upuuzi. amani aliyoiweka mwalimu, leo mmeibemenda, ndiyo maana mnafaidi maovu haya ya mabomu, vita na ujinga wote. mwalimu atabaki mwalimu-ni kiongozi pekee aliyeiacha nchi katika amani. laana ya kumpuuza ndo inawatafuna sasa watanzania. mmejifanya wajuvi wa kumponda ilhali hamna weledi. laana ya kupuuza maono ya wazee sasa inawatafuna.
 
kwa jinsi ulivyoandika unajipambanua wazi kuwa wewe ni mwanachadema ingawa unajiita kuwa ni mwana ccm. njaa hizi zitatumaliza kabisa

Lizaboni, basi kama unaona kuna ukweli au uongo jadili katika muktadha huo, kudai kuwa ni mwanachadema kuwa njaa zinatumaliza haisaidii. Sijui nikueleze vipi unielewe. Mimi ni mwana CCM mwenyekukereketwa na mstakabali wa taifa na watu wote bila kujali itikadi. Kama huamini subiri ipo siku nitakupa taarifa za vikao vya ndani vya CCM hasa nitavyoona kuwa vinataka kuangamiza au kubaka demokrasia na uhuru wa watu ndipo utatambua nisemayo. Mimi ni mzaliwa wa kijiji cha Makunda kilichoko Kata ya Kyengege tarafa ya Kinampanda, siwezi kuwa mnafiki na kuugeuza uovu kuwa haki. Mwigulu ni mbunge wangu huko nyumbani lakini mimefika mahali najihisi kutapika kila ninapomuona hata kusikia matamshi yake.
Hivi Lizaboni kama siyo mnafiki naomba useme ukweli kama mtu huru, mwenye mawazo huru ambaye angalau amesoma kidato hadi cha pili kama umezidi hapo nashukuru, hebu nieleze katika haya yote yanayoendelea wa kulaumiwa ni nani? Je ni kama alivyosema Nape CHADEMA wanaweza kujirushia bomu wao wenyewe kweli kama huo si ukichaaa ni nini. Kuwa mwenezi siyo kuwa kama debe tupu, ni muhimu kutafakari kabla ya kusema huku ukijiuliza wasikilizaji wangu watapata ujumbe gani.
:heh::heh::heh::heh::heh::heh::heh::heh::heh::heh::heh:
 
!!

...Ngoja nikaongee na Mbunge wangu kodi yangu ianze kukatwa JF badala ya sehemu nyingine...

...Asante sana Mkuu dot mpaka wavuni......
 
Kuna kitu cha msingi ambacho kwa mzalendo wa taifa hili unakipata bila kujali itikadi za kisiasa. Ni busara kutafakati mara mbili au zaidi juu ya maelezo haya.
 
I see, ukishangaa pumba za Lipumba, utaziona za Nape, eti anadiriki kusema kwamba CHADEMA ilihofia kushindwa Arusha hadi wakaamua kujilipua na bomu kwenye mkutano wao, Yaani CHADEMA ihofie kushindwa Arusha mjini hadi wajilipue na bomu, teh teh teh!, kuna watu sasa aibu hawana kabisa.
 

Muda ukifika tutaonana tu, asiye kinyume nawe yuko pamoja nawe. Adui yetu ni mmoja CCM kwa matendo yake.
 

Rubbish yourself. Shame upon your face. You must understand that this is from a person who is well informed than you. I am a senior member of CCM holding some key positions in the party, I wrote something which I am sure of. CCM is a calamity.

You must repent otherwise God's judgment is coming soon.
 

So you are holding key POSITIONS IN THE PARTY??? How many positions? hahahahahahahahaha! Duuuuuuh! And how sure you are to say you are well informed than me??? You do not know me, you do not know what I do for a living, how could you tell that you are capable of knowing things than others when you do not know them?? you better write sense and be reasonable. That said, I still insist that what you wrote is utter nonsense and wishful thinking. And from what you write, it appears to me that you are a very emotional person with no stable mentality. I am not going to be emotional and unreasonable like you to the extent of placing my self higher than others by boasting about the position I hold in this country but rest assured that I am not just like another person you know. I am someone else and I really mean it.
 
Position kwenye ccm inatuusu nn sisi! Au unataka kutuambia mkishakua viongozi huko Ccm ni viongozi serikalini sio!!

Sent from my BlackBerry 9800 using Jamie
 
Uchambuzi mzuri. Na sasa ninaweza kuanza kuelewa kauli ya Kadinali Pengo baada ya bomu la Olasiti kuwa ameambiwa na watu anaomini hawawezi kumdanganya kuwa tukio hilo halihusiani na udini. Wkt huo sikumwelewa, but time is always the best teacher. Yamkini alikuwa sahihi maana sasa inaanza kujidhihirisha kuwa hilo nalo lilikuwa tukio la kisasa!!!!
 
CCM wanadhani wako peponi kumbe wako motoni ni swala la muda tu na kila kitu kitakuwa kama ambavyo kinatakiwa kiwe. only time will tell
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…