Huu ndio ukweli kuhusu kamanda Malisa na CHADEMA

Huu ndio ukweli kuhusu kamanda Malisa na CHADEMA

nakubaliana nawe don-oba kuwa huyo jamaa anayesema saut ni chuo cha kata ana akili ndogo sana.mtindo wa kupima chuo kwa majina ni ulemavu wa mawazo.Mwambie aangalie databse ya necta kwa watu wawili, Rais Malisa na Makamu wake.wote walipata division one kwenye mitihani yao ya form six. sasa hoja ya vilaza inatoka wp?
kama aliahidi kituo cha polisi na hajajenga basi ni kilaza wa uongozi?
 
don-oba mwishoni umeargue vzr bt mwanzoni kdg ulianza kupotosha. unaposema watu hawajapata mkopo ni kama vile unamaanisha hakuna aliyepata mkopo hata mmoja na sautso inaona sawa tu. si kweli na huo ni upotoshaji. loan beneficieries saut ni zaidi ya 8000 na walipota hela zao ni zaidi ya 7500. wapo wachache takribani watu 337 ambao hawajapata hela zao kwa matatizo mbalimbali. mengine kwa kushindwa ku update taarifa zao, na wengine kwa kushindwa kufanya mitihani kwa wakati. So hao ndio sautso inajitahidi kuwashughulikia na tunategemea wapate hela zao kabla hawajaanza mitihani.

Watu wamefanya zile special tangu September, matokeo yametoka tangu october mwishoni. Majina mmekuja peleka December hamwoni huo ni uzembe?. Halafu acha kupotosha, kwani kuna wale waliofanya mtihani ila matokeo yao yakawa with held sababu ya ada. Nina majina hapa ya watu waliolipa ada tangu september ili kupata matokeo yao lakini hadi sasa hawajapata pesa yao. Acha hao wenye case za kuto update ac zao. Unasema pesa zitakuja kabla ya kuanza mtihani lini?. Watu watapata wapi vitambulisho wakati dedline imeishapita?. Ni ungozi dhaifu ndio unaweza fanya haya. Tutamkumbuka Mataba daima.
 
Malisa namjua tangu akisoma majengo sec, ni kamanda na mpiganaji wa ukweli,ilifika hatua alivamiwa na usalama kisa article zake alizokua anaandika kwenye gazeti la mwanahalisi na kusambaza pale shuleni,havunjiki moyo na ni mvumilivu wa kweli,mpigeni mawe wee atabakia kupambana tu,kamanda wa ukweli
 
uchaguzi wa vyuo vya kata.
wewe utakuwa namapungufu makubwa sana katika maisha yako na unaumwa ugonjwa(uhafidhina) wakutoamini kama kuna chuo nje ya udsm! Kwa taarifa yako chuo cha sauti ni chuo bora kuliko hicho chako unachoamini eti kwakufuata historia tu! Wanachuo wanaokwenda vyuo vya saut wana sifa kama walizonazo na hata kuwazidi wa udsm namafunzo wapewayo ni bora zaidi kuliko hao wanaoshinda kwemaandamano na migomo kila kukicha sababu ya viongozi wachumia matumbo ka kina mkandara!
 
wewe utakuwa namapungufu makubwa sana katika maisha yako na unaumwa ugonjwa(uhafidhina) wakutoamini kama kuna chuo nje ya udsm! Kwa taarifa yako chuo cha sauti ni chuo bora kuliko hicho chako unachoamini eti kwakufuata historia tu! Wanachuo wanaokwenda vyuo vya saut wana sifa kama walizonazo na hata kuwazidi wa udsm namafunzo wapewayo ni bora zaidi kuliko hao wanaoshinda kwemaandamano na migomo kila kukicha sababu ya viongozi wachumia matumbo ka kina mkandara!

Hahahahahahaha bwa bwa bwa bwa bwa bwa!!!!!!!
 
Malisa namjua tangu akisoma majengo sec, ni kamanda na mpiganaji wa ukweli,ilifika hatua alivamiwa na usalama kisa article zake alizokua anaandika kwenye gazeti la mwanahalisi na kusambaza pale shuleni,havunjiki moyo na ni mvumilivu wa kweli,mpigeni mawe wee atabakia kupambana tu,kamanda wa ukweli

Bora umweleze ukweli huyo kilaza aliyetumwa na Mataba. Mimi Malisa nimemfahamia SAUT na ninaona ni mpiganaji mzuri. huyo Mataba anayewatumia hawa vijana ana kashfa nyingi na alikuwa kiongozi dhaifu sana. alihusika kuiba tv ya chuo, alivunja baraza la mawaziri mwezi mmoja kabla hajamaliza ili ampe uwaziri binti mmoja aliyekuja first year hana hata mwezi chuo. kisa alimhonga rushwa ya ngono.alikula ada za wanafunzi na kuwapa risiti feki.hayo ni machache huyo mataba ni kilaza na anawatumia vilaza wenzie kumsafisha wakati hasafishiki.
 
Back
Top Bottom