Raia wa Taifa
Member
- Jan 28, 2024
- 79
- 112
Wasalaam Jf,
Nimemsikiliza mtoto Halfan Gidion nikatokwa na mchozi binadamu tuzidi sana kumwomba Mungu
Kwakuwa yeye amemchagua Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwamba ndio tegemeo lake la mwisho basi kwa yeyote mwenye namba ya Mhe Rais amfikishie andiko hili ili aweze kumsaidia,
Ni Mimi tu kuwaleteeni habari,
Nimemsikiliza mtoto Halfan Gidion nikatokwa na mchozi binadamu tuzidi sana kumwomba Mungu
Kwakuwa yeye amemchagua Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwamba ndio tegemeo lake la mwisho basi kwa yeyote mwenye namba ya Mhe Rais amfikishie andiko hili ili aweze kumsaidia,
Ni Mimi tu kuwaleteeni habari,