Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 12,499
- 17,572
- Thread starter
- #161
Naona una andika kile unacho dhani njia za reli 3 zote ni km 30 your very stupidnani amesema hakuna?
lakini Dar its only 30kms na inabebaba 9000 commuters only kwa siku...
Ilhali Nairobi commuter Rail ni 100kms inabeba 41000 commuters daily...
Unaona kwa nini mipango ya Nairobi ni ya railway....BRT ni kurudi nyuma hapa kwetu
Lakini labda nyinyi mna mipango mingine... kila nchi na shida zake...
Hapa Nairobi BRT haiwezi saidia....