mchajikobe
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 2,652
- 1,238
Hii forum yetu wanajamii inabidi tuilinde wenyewe,sababu katika msafala huu naona kunaweza tokea baadhi ya wapinga cc,ili kuharibu tuu status ya haka kautamu ketu,tukiona dalili ya hivi vijiswala ni heri tuviteketeze b4 hawajatuharibia kama kale kautamu,tusirumbane na wala tusibebane,kama tunaona asiyestahili katika huku kujinoma kwetu basi tuwaumbue tuu!!