Atauwezea wapi konnie, hivi jana si ulimwona alivyogaragara wakati uporoto anampa ile talaka? Mi nilijua atazirai siku 3 lol..
We koma kumshauri mwenzio uongo, unataka ajishaue judgement abadilishe mawazo utamuoa wewe?... Ataenda kujishaua mbele ya safari.Mwanamke pozi...sasa wewe kusikia tu umekubali haraka hivyo....lol
Ndo mana Uporoto kakukimbia.....
Jishaue basi hata kidogo Husny
Mwanamke pozi...sasa wewe kusikia tu umekubali haraka hivyo....lol
Ndo mana Uporoto kakukimbia.....
Jishaue basi hata kidogo Husny
Nikifichie siri Judgy akate tamaa
utauweza ujane wewe sasa hivi??
Hahaha! Hapo sasa!...lol.ha ha ha
ujane mbaya
chezea hogo la jang'ombe
Mwanamke pozi...sasa wewe kusikia tu umekubali haraka hivyo....lol
Ndo mana Uporoto kakukimbia.....
Jishaue basi hata kidogo Husny
Hahahahaaaaaa! Namshangaa huyu Erick na ushauri wake wa giza, anataka Jux akuje hapa aseme kamzimikia mtu mwingine jina linaanza na herufi J au? Hajui humu ndani ni kuwahiana , anataka husni arembe ili iweje?Babueee
mwanamke shurti awe harage la mbeya
ukishikwa shikamana
na ukibebwa kunja miguu
Inahu?? Ujivunge vunge
wajanja wabebe lol
Babueee
mwanamke shurti awe harage la mbeya
ukishikwa shikamana
na ukibebwa kunja miguu
Inahu?? Ujivunge vunge
wajanja wabebe lol
Hahahaaa hakumwona mwenzie Jane000 kwa Ousofia?? Full mapoziWe koma kumshauri mwenzio uongo, unataka ajishaue judgement abadilishe mawazo utamuoa wewe?... Ataenda kujishaua mbele ya safari.
Hahahahaaaaaa! Namshangaa huyu Erick na ushauri wake wa giza, anataka Jux akuje hapa aseme kamzimikia mtu mwingine jina linaanza na herufi J au? Hajui humu ndani ni kuwahiana , anataka husni arembe ili iweje?
Hajui ameponea chupu chupu kuwa mjane?
Hahaha! Mwambie huyo swahiba, hajui siku hizi tunaenda kujishaua tukiwa chumbani...lol.weee! Hujui maisha mafupi na muda hautoshi. A second is enough for me to fall in love babu eeeh!
Husninyo ucwe unasahau kuja kwangu kama kawa. C unajua jnc ndondo inalipa. Nakukubal sana kwa out work aka ndondo.
Babueee
mwanamke shurti awe harage la mbeya
ukishikwa shikamana
na ukibebwa kunja miguu
Inahu?? Ujivunge vunge
wajanja wabebe lol
Hivi yule mkaka i mean jane000 kaishia wapi?Hahahaaa hakumwona mwenzie Jane000 kwa Ousofia?? Full mapozi
Hahahaaa hakumwona mwenzie Jane000 kwa Ousofia?? Full mapozi
natulia na mme wangu judgement. Vismol hauz tupa kuleee!
Hahahahaaaaaa! Namshangaa huyu Erick na ushauri wake wa giza, anataka Jux akuje hapa aseme kamzimikia mtu mwingine jina linaanza na herufi J au? Hajui humu ndani ni kuwahiana , anataka husni arembe ili iweje?
Hajui ameponea chupu chupu kuwa mjane?
Tena ukizingatia bado una majeraha makali....weee! Hujui maisha mafupi na muda hautoshi. A second is enough for me to fall in love babu eeeh!