Husband is needed

Mpendwa wangu, mimi sifa zote ninazo ila moja tu ndio sina. Mimi ni bonge ila ni bonge mwepesi, na nimekuwa mnono baada ya kupata vijipesa
 
45 yrs napiga show vyema, mashine inch 8,pombe napiga,calm,phd holder,sina ajira,mzaramo nipo Ubungo kibangu
 
Huyu Isuja yupi mkuu. Ni kama namfahamu Isuja alikuwa headmaster shule fulani hivi.
Mathias Isuja Joseph RIP, alikuwa Askofu mkuu wa Catholic Diocese of Dodoma. Ni mmoja wa maaskofu wakongwe na waliokuwa maarufu nchini.
 
Usiwe wa mjini sana na Wala usiwe muongeaji sana. Because siwezi watu waongeaji. Uwe mpole. Because Mimi ni mtu calm.

Kila la kheri...

Ingawaje kwa namna ulivyoandika uzi, unaonekana kama ni mdada muonheaji sana...
 
𝐕𝐢𝐠𝐞𝐳𝐨 𝐧𝐢𝐧𝐚𝐯𝐲𝐨 𝐢𝐥𝐚 𝐧𝐢𝐤𝐨 𝐦𝐢𝐤𝐨𝐚𝐧𝐢, 𝐬𝐢𝐲𝐨 𝐦𝐰𝐚𝐧𝐚𝐮𝐦𝐞 𝐰𝐚 𝐃𝐚𝐫
 
Tengaa sana,
Mrangi wa itololo, but siishi dar
Nipo mbeya kwenye utafutaji rizki.
Elimu kidogo ipo (diploma)
Age 33
Kipato cha kawaida.
If you are interested for more particulars, warmly welcome.
 
Muwe mnaweka na picha zenu ili tu-match matarjio yenu na uhalisia wenu. Unaweza ukakuta una sura ya baba, shapeless, una manyoya, usoni, mikononi na miguuni alafu unatuletea vigezo vingi hivyo, msiwe mnatuchosha
 
Itabidi umcray soil
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…