Hatari sana, Bahamas kimeshafua huko tayari State of emergency imeshatangazwa katika Jimbo la Florida ili watu wahamishwe.
Lakini hivyo ni huko Bahamas na visiwa jirani. US ndio kwanza kimeingia na mpaka sasa 23000 hawana umeme na mamlaka za hali ya hewa wanasema kimbunga methew cha karne cha aina yake.Inatisha sana Mkuu, idadi ya vifo imeshafikia 269 nina wasiwasi inaweza kuongezeka zaidi.
http://www.cnn.com/2016/10/06/americas/hurricane-matthew-cuba-haiti/index.html
Inatisha sana Mkuu, idadi ya vifo imeshafikia 269 nina wasiwasi inaweza kuongezeka zaidi.
http://www.cnn.com/2016/10/06/americas/hurricane-matthew-cuba-haiti/index.html
Lakini hivyo ni huko Bahamas na visiwa jirani. US ndio kwanza kimeingia na mpaka sasa 23 hawana umeme na mamlaka za hali ya hewa wanasema kimbunga methew cha karne cha aina yake.
Tuwaombee uzima wa maeneo hayo ila wengi wameitikia vizuri wito wa kwenda kwenye maeneo salama. Wachache wamebaki kwa kudai wanalinda nyumba zao, mali zao na biashara zao.
Oh noooo!! 269 is too big Jamani.... mungu asaidie wapate msaada
Kuna watu wanashangaza sana, kwao mali ni zaidi ya uhai! Kuna jamaa mmoja amehojiwa amasema yeye haondoki, analinda mali zake.
Wanatia huruma sana Mkuu na kwa mfano Haiti ni moja ya nchi maskini sana duniani. Natumai nchi mbali mbali ziwatasaidia ili waweze kurejea kwenye maisha ya kawaida haraka na pia kuwapunguzia adha kubwa ya kimaisha kufuatia hili gharika Matthew.
Tanzania ijipange? kwa majanga ya aina ya Hurricane Mathew? Taifa la marekani na ukubwa wake lakini limepigwa na mshangao. Tuzidi kumuomba sir God upele awape haohao wenye kucha mkuu.Hayo ndio majanga ya asili. Kimtikisiko cha hivi majuzi kule Kagera kiwe changamoto kwetu kujipanga ...
Kujipanga kuna level tofauti tofauti Mkuu. Sawa hatuna uwezo wa Marekani lakini hata kutimua wa mabondeni nalo linatushinda?Tanzania ijipange? kwa majanga ya aina ya Hurricane Mathew? Taifa la marekani na ukubwa wake lakini limepigwa na mshangao. Tuzidi kumuomba sir God upele awape haohao wenye kucha mkuu.