Huo Ndio "UHUNI" Siasa za Visasi na Kukomoana!

voicer

JF-Expert Member
Jul 13, 2020
5,553
11,885
Kuna kundi la "WAHUNI WA KISIASA" ambalo limeibuka na linajijenga kila uchao nchini.
Kundi hili linapatikana kwenye Jamii yetu na hasa hasa kwenye vyama viwili maarufu vya Siasa vya Chadema na CCM.

PolePole, Bashiru Magufuli, Ndugai, Sabaya,
Makonda, Mnyeti na sasa Mdee & Company ni baadhi ya wahanga wa kundi hili.

Kwao yeyote atakaekuwa aliwaza tofauti na mitizamo yao,au
Alichukua hatua zilizokomesha ulaji wao kimfumo.
Basi huyo ni adui wao na hastahili kuishi kwa amani popote pale alipo,kwa kuwa tu,amehatarisha au kuzuia maslahi yao binafsi.

Mtu au watu hao watapewa majina yote mabaya ikiwemo Usaliti,Uuwaji au Udikteta nk.

Wataandamwa kimfumo na kuchafuliwa kimfumo mpaka pale yananapowakuta mabaya yoyote na kuwaweka pembeni ili kupisha wenye malengo yao ovu watimize kile walichokuwa wakikifanya hapo awali kama kawaida.

Imefikia hatua tunaona kule CCM wakiugeuza mkutano mkuu wao wa chama kuwa sehemu ya kupongezana dhidi ya kiongozi aliyetangulia kwenye haki,kwa kupeana majina ya Walamba Asali.

Tunawaona wa huku Chadema nao wakifikia mahali wakawakodishia wafuasi wao usafiri na Posho juu,ili tu wafike mahakamani kumzomea yule waliyemuona kama kizingiti kwenye siasa zao jimboni kwa Mwenyekiti wao Mbowe.

Na ilipotolewa hukumu ya miaka 30 jela kwa mbaya wao Sabaya.
Walishindwa kuficha furaha yao mitandaoni mpaka kwenye viti moto na bia baridi huko mitaani.

Hali ilikuwa hivyohivyo kwa Spika Mstaafu Job Yustino Ndugai hadi alipotenguliwa na kupisha kiti cha uspika wa bunge la JMT.

Baadae wakahamishia mashambulizi upande wa pili kwa mbaya wao mwingine Makonda.

Si kwenye magazeti,mitandaoni,Club house na kila nyenzo waliyoweza. Kazi ilikuwa moja tu...
Komoa Makonda!
lakini bahati mbaya kwao na nzuri kwa Makonda.bado Dua lao halijasikilizwa.

Ila ghafla likajitokeza pigo.....Sabaya Mbaya akashinda rufaa mahakamani na kuachiwa huru,huku akiendelea kuwa mahabusu kusubiri hukumu ya kesi ingine hapo Mei 30.

Salaaleh....povu likaanza upya kuanzia Club House mpaka twitter na humu JF tumeona hasira ilivyokuwa ikiendelea.

Lakini ilipokuja suala la waliokuwa wanachama maarufu Chadema kabla ya kufukuzwa kwa kupingana na maelekezo ya chama chao.
Na hatimae muda wa rufaa zao mbele ya Halmashauri Kuu ya chama chao kuwadia.
Mashambulizi yote kwa Sabaya na Makonda yakaadimika au kukoma kabisa mitandaoni na kwingineko.
Badala yake tukaona yamehamishiwa kwa hawa wabunge 19 wa chadema pamoja na Spika mstaafu Yustino Job Ndugai.

Maamuzi yakatoka na Halima & Company wakafukuzwa rasmi kutoka Chadema kwenye kikao kilichoisha usiku wa manane pale Mlimani City.

Asubuhi kulikucha na Sherehe mitandaoni mpaka huko Club Houses na Magazeti yale yaliyoko chini ya makada wa chadema ambayo ni
"Tanzania Daima"
la Mwenyekiti Mbowe.
Na lile aliloajiriwa
Said Kubenea kwa sasa "Raia Mwema".

Na leo furaha imegeuka ghafla kuwa povu........

Pale Spika Tulia Akson Mwansasu,alipotangaza rasmi bungeni Dodoma.

Maamuzi ya kusubiri mhimili wa mahakama Kuu ukamilishe Hukumu ya kesi ya msingi,
iliyofunguliwa na wabunge hao kupinga kuvuliwa kwao uanachama.
Huku wakiitumia mahakama hiyo hiyo kuweka zuio la wao kuvuliwa ubunge mpaka shauri la msingi litakapoamuliwa na mahakama.

Saa hii humu tunaona makombora mapya kutoka kila kona ya chadema kuelekezwa kwa Spika. Mengine yakiwa mashambulizi binafsi kwake.
Na mengine yakirushwa kwa serikali ya CCM.

Lakini wanaenda mbali kwa kumtaka Mbowe amuombe Rais Samia kumlazimisha Spika kuwatimua bungeni bila kusubiri hatua za kisheria kwa mujibu wa katiba ya JMT.

Hapa tunaona lengo sio kufukuzwa uanachama kwa hao 19 tu.

Bali lengo ni kuwaona wakiteseka mtaani kama hawa wengine.
Waliokubali kufuata maelekezo,wakiwemo madiwani kibao waliokuwa wameshinda kwenye uchaguzi mkuu wa 2020.

Na kwa upande mwingine tumesikia kuna wateule wapendwa wengine 19 waliokuwa tayari wameandaliwa huo ulaji pindi hao kina Mdee watakapoachia ngazi.

Je hizi siasa za kukomoana zitatufikisha hadi wapi kama taifa??
 
Kuna kundi la "WAHUNI WA KISIASA" ambalo limeibuka na linajijenga kila uchao nchini.
Kundi hili linapatikana kwenye Jamii yetu na hasa hasa kwenye vyama viwili maarufu vya Siasa vya Chadema na CCM.

PolePole,Bashiru Magufuli,Ndugai,Sabaya,
Makonda,Mnyeti na sasa Mdee & Company ni baadhi ya wahanga wa kundi hili.

Kwao yeyote atakaekuwa aliwaza tofauti na mitizamo yao,au
Alichukua hatua zilizokomesha ulaji wao kimfumo.
Basi huyo ni adui wao na hastahili kuishi kwa amani popote pale alipo,kwa kuwa tu,amehatarisha au kuzuia maslahi yao binafsi.

Mtu au watu hao watapewa majina yote mabaya ikiwemo Usaliti,Uuwaji au Udikteta nk.

Wataandamwa kimfumo na kuchafuliwa kimfumo mpaka pale yananapowakuta mabaya yoyote na kuwaweka pembeni ili kupisha wenye malengo yao ovu watimize kile walichokuwa wakikifanya hapo awali kama kawaida.

Imefikia hatua tunaona kule CCM wakiugeuza mkutano mkuu wao wa chama kuwa sehemu ya kupongezana dhidi ya kiongozi aliyetangulia kwenye haki,kwa kupeana majina ya Walamba Asali.

Tunawaona wa huku Chadema nao wakifikia mahali wakawakodishia wafuasi wao usafiri na Posho juu,ili tu wafike mahakamani kumzomea yule waliyemuona kama kizingiti kwenye siasa zao jimboni kwa Mwenyekiti wao Sabaya.

Na ilipotolewa hukumu ya miaka 30 jela kwa mbaya wao Sabaya.
Walishindwa kuficha furaha yao mitandaoni mpaka kwenye viti moto na bia baridi huko mitaani.

Hali ilikuwa hivyohivyo kwa Spika Mstaafu Job Yustino Ndugai hadi alipotenguliwa na kupisha kiti cha uspika wa bunge la JMT.

Baadae wakahamishia mashambulizi upande wa pili kwa mbaya wao mwingine Makonda,si kwenye magazeti,mitandaoni na kila nyenzo waliyoweza.
Kazi ilikuwa moja tu...Komoa Makonda!,lakini bahati mbaya kwao na nzuri kwa Makonda.bado Dua lao halijasikilizwa.

Ila ghafla likajitokeza pigo.....Sabaya Mbaya akashinda rufaa mahakamani na kuachiwa huru,huku akiendelea kuwa mahabusu kusubiri hukumu ya kesi ingine hapo Mei 30.

Salaaleh....povu likaanza upya kuanzia Club House mpaka twitter na humu JF tumeona hasira ilivyokuwa ikiendelea.

Lakini ilipokuja suala la waliokuwa wanachama maarufu Chadema kabla ya kufukuzwa kwa kupingana na maelekezo ya chama chao.
Hatimae muda wa rufaa zao kuwadia mbele ya Halmashauri Kuu ya chama chao.
Mashambulizi yote kwa Sabaya na Makonda yakaadimika au kukoma kabisa mitandaoni na kwingineko.
Badala yake tukaona yamehamishiwa kwa hawa wabunge 19 wa chadema.

Maamuzi yakatoka na wakafukuzwa rasmi kutoka Chadema kwenye kikao kilichoisha usiku wa manane pale Mlimani City.

Asubuhi kulikucha na Sherehe mitandaoni mpaka huko Club Houses na Magazeti yale yaliyoko chini ya makada wa chadema ambayo ni "Tanzania Daima" la Mwenyekiti Mbowe.
Na lile aliloajiriwa Said Kubenea kwa sasa "Raia Mwema"

Leo furaha imegeuka ghafla kuwa povu....
Pale Spika Tulia Akson alipotangaza maamuzi ya kusubiri mhimili wa mahakama ukamilishe maamuzi ya kesi ya msingi iliyofunguliwa na wabunge hao kuvuliwa uanachama wao na huku wakiitumia mahakama hiyo hiyo kuweka zuio la wao kuvuliwa ubunge wao mpaka shauri la msingi litakapoamuliwa na mahakama.

Saa hii humu tunaona makombora mapya kutoka kila kona ya chadema kuelekezwa kwa Spika.
Mengine yakiwa mashambulizi binafsi kwake.

Lakini wanaenda mbali kwa kumtaka Mbowe amuombe Rais Samia kumlazimisha Spika kuwatimua bungeni bila kusubiri hatua za kisheria kwa mujibu wa katiba ya JMT.

Hapa tunaona lengo sio kufukuzwa uanachama kwa hao 19 tu.

Bali lengo ni kuwaona wakiteseka mtaani kama hawa wengine waliokubali kufuata maelekezo,wakiwemo madiwani kibao waliokuwa wameshinda kwenye uchaguzi mkuu wa 2020.

Na kwa upande mwingine tumesikia kuna wateule wapendwa wengine 19 waliokuwa tayari wameandaliwa huo ulaji pindi hao kina Mdee watakapoachia ngazi.

Je hizi siasa za kukomoana zitatufikisha hadi wapi kama taifa??
Wadanganye Wana chatu wenzio Hilo kundi lote ni sababu ya Kila aina ya uovu ,dhuluma na uvunjifu wa Sheria na mmomonyoko wa maadili na uaminifu tunaoshuhudia katika taifaletu hii Leo na athari zake bado zinaonekana Kwa wafuasi wao kama wewe🙄
 
Wadanganye Wana chatu wenzio Hilo kundi lote ni sababu ya Kila aina ya uovu ,dhuluma na uvunjifu wa Sheria na mmomonyoko wa maadili na uaminifu tunaoshuhudia katika taifaletu hii Leo na athari zake bado zinaonekana Kwa wafuasi wao kama wewe
#Kataa wahuni
 
Kuna kundi la "WAHUNI WA KISIASA" ambalo limeibuka na linajijenga kila uchao nchini.
Kundi hili linapatikana kwenye Jamii yetu na hasa hasa kwenye vyama viwili maarufu vya Siasa vya Chadema na CCM.

PolePole, Bashiru Magufuli, Ndugai, Sabaya,
Makonda, Mnyeti na sasa Mdee & Company ni baadhi ya wahanga wa kundi hili.

Kwao yeyote atakaekuwa aliwaza tofauti na mitizamo yao,au
Alichukua hatua zilizokomesha ulaji wao kimfumo.
Basi huyo ni adui wao na hastahili kuishi kwa amani popote pale alipo,kwa kuwa tu,amehatarisha au kuzuia maslahi yao binafsi.

Mtu au watu hao watapewa majina yote mabaya ikiwemo Usaliti,Uuwaji au Udikteta nk.

Wataandamwa kimfumo na kuchafuliwa kimfumo mpaka pale yananapowakuta mabaya yoyote na kuwaweka pembeni ili kupisha wenye malengo yao ovu watimize kile walichokuwa wakikifanya hapo awali kama kawaida.

Imefikia hatua tunaona kule CCM wakiugeuza mkutano mkuu wao wa chama kuwa sehemu ya kupongezana dhidi ya kiongozi aliyetangulia kwenye haki,kwa kupeana majina ya Walamba Asali.

Tunawaona wa huku Chadema nao wakifikia mahali wakawakodishia wafuasi wao usafiri na Posho juu,ili tu wafike mahakamani kumzomea yule waliyemuona kama kizingiti kwenye siasa zao jimboni kwa Mwenyekiti wao Sabaya.

Na ilipotolewa hukumu ya miaka 30 jela kwa mbaya wao Sabaya. Walishindwa kuficha furaha yao mitandaoni mpaka kwenye viti moto na bia baridi huko mitaani.

Hali ilikuwa hivyohivyo kwa Spika Mstaafu Job Yustino Ndugai hadi alipotenguliwa na kupisha kiti cha uspika wa bunge la JMT.

Baadae wakahamishia mashambulizi upande wa pili kwa mbaya wao mwingine Makonda,si kwenye magazeti,mitandaoni na kila nyenzo waliyoweza. Kazi ilikuwa moja tu...Komoa Makonda!,lakini bahati mbaya kwao na nzuri kwa Makonda.bado Dua lao halijasikilizwa.

Ila ghafla likajitokeza pigo.....Sabaya Mbaya akashinda rufaa mahakamani na kuachiwa huru,huku akiendelea kuwa mahabusu kusubiri hukumu ya kesi ingine hapo Mei 30.

Salaaleh....povu likaanza upya kuanzia Club House mpaka twitter na humu JF tumeona hasira ilivyokuwa ikiendelea.

Lakini ilipokuja suala la waliokuwa wanachama maarufu Chadema kabla ya kufukuzwa kwa kupingana na maelekezo ya chama chao. Hatimae muda wa rufaa zao kuwadia mbele ya Halmashauri Kuu ya chama chao. Mashambulizi yote kwa Sabaya na Makonda yakaadimika au kukoma kabisa mitandaoni na kwingineko. Badala yake tukaona yamehamishiwa kwa hawa wabunge 19 wa chadema.

Maamuzi yakatoka na wakafukuzwa rasmi kutoka Chadema kwenye kikao kilichoisha usiku wa manane pale Mlimani City.

Asubuhi kulikucha na Sherehe mitandaoni mpaka huko Club Houses na Magazeti yale yaliyoko chini ya makada wa chadema ambayo ni "Tanzania Daima" la Mwenyekiti Mbowe. Na lile aliloajiriwa Said Kubenea kwa sasa "Raia Mwema"

Leo furaha imegeuka ghafla kuwa povu....
Pale Spika Tulia Akson alipotangaza maamuzi ya kusubiri mhimili wa mahakama ukamilishe maamuzi ya kesi ya msingi iliyofunguliwa na wabunge hao kuvuliwa uanachama wao na huku wakiitumia mahakama hiyo hiyo kuweka zuio la wao kuvuliwa ubunge wao mpaka shauri la msingi litakapoamuliwa na mahakama.

Saa hii humu tunaona makombora mapya kutoka kila kona ya chadema kuelekezwa kwa Spika. Mengine yakiwa mashambulizi binafsi kwake.

Lakini wanaenda mbali kwa kumtaka Mbowe amuombe Rais Samia kumlazimisha Spika kuwatimua bungeni bila kusubiri hatua za kisheria kwa mujibu wa katiba ya JMT.

Hapa tunaona lengo sio kufukuzwa uanachama kwa hao 19 tu.

Bali lengo ni kuwaona wakiteseka mtaani kama hawa wengine waliokubali kufuata maelekezo,wakiwemo madiwani kibao waliokuwa wameshinda kwenye uchaguzi mkuu wa 2020.

Na kwa upande mwingine tumesikia kuna wateule wapendwa wengine 19 waliokuwa tayari wameandaliwa huo ulaji pindi hao kina Mdee watakapoachia ngazi.

Je hizi siasa za kukomoana zitatufikisha hadi wapi kama taifa??

Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam imesema Wabunge 19 waliovuliwa uanachama na CHADEMA, waendelee kufanya shughuli zao za kibunge hadi Mahakama itakaposikiliza maombi yao ya zuio la muda kuhusu ubunge wao.

Uamuzi huo umetolewa na Jaji John Mgeta baada ya kusikiliza kesi hiyo kwa ajili ya kutoa uamuzi kama Wabunge hao waendelee kuwa Bungeni ama laah, ambapo June 13, 2022 ndio atasikiliza zuio hilo.
#MillardAyoMAHAKAMANI
 
Nilishangazwa sana na kauli ya Mwenyekiti Mbowe mbele ya kamera kumuita Mwenyekiti mstaafu na wabunge wengine wahunii.

Niliendelea kuthibitisha kwamba Chadema kamwe hakifai kuaminika kupewa dola.

Ni watu wasiokuwa na busara kabisa.

Yaani uhuni uhuni tu mwingi ndani ya hicho chama.
 
Nilishangazwa sana na kauli ya Mwenyekiti Mbowe mbele ya kamera kumuita Mwenyekiti mstaafu na wabunge wengine wahunii.

Niliendelea kuthibitisha kwamba Chadema kamwe hakifai kuaminika kupewa dola.

Ni watu wasiokuwa na busara kabisa.

Yaani uhuni uhuni tu mwingi ndani ya hicho chama.
Halafu ukweli ni kwamba Chadema hawapendi na hawataki kesi hii kufika kusikilizwa mahakamani.

Sababu itawalazimisha kuupeleka ushahidi mahakamani,ikiwemo sahihi halisi tofauti na iliyopo kwenye Documents za kina Mdee ili kuthibitisha kama ilikuwa ghushi,kulingana na madai ya uongozi.
 
Nilishangazwa sana na kauli ya Mwenyekiti Mbowe mbele ya kamera kumuita Mwenyekiti mstaafu na wabunge wengine wahunii.

Niliendelea kuthibitisha kwamba Chadema kamwe hakifai kuaminika kupewa dola.

Ni watu wasiokuwa na busara kabisa.

Yaani uhuni uhuni tu mwingi ndani ya hicho chama.
weka uwanja sawa wa kisiasa ndiyo utajua Chadema hakifai. Nyie watoto wadogo , siasa za nchi hii zimewazidi kimo.

Mnahangaika kulamba viatu ili kupata viuteuzi na kuja kuhara humu kwa mambo ambayo wenye akili wanayajua.

Mbona hujaongelea suala la mahakama kutaka kuendesha kesi hii ya kina Mdee kinyemela bila CHADEMA KUWA na taarifa. Mbona huelezi uozo huu ktk mahakama zetu.

Hii ni aibu. Hii ni kesi nyingine ya aibu.

Ndugu laiti ungejua mambo ya kishetani ambayo Sabaya alifanyia watu pale Hai , basi ungekaa kimya tu. Tatizo mnasikia tu mbio mnakuja mtandaoni kutoa utetezi. Sabaya alistahili kupigwa mawe hadharani.

Hivi unadhani mpaka Rais anamvua ukuu wa Wilaya na kuagiza achunguzwe hakujiridhisha na uchafu wa sabaya. Urais ni taasisi nyeti na kubwa .
 
weka uwanja sawa wa kisiasa ndiyo utajua Chadema hakifai. Nyie watoto wadogo , siasa za nchi hii zimewazidi kimo.

Mnahangaika kulamba viatu ili kupata viuteuzi na kuja kuhara humu kwa mambo ambayo wenye akili wanayajua.

Mbona hujaongelea suala la mahakama kutaka kuendesha kesi hii ya kina Mdee kinyemela bila CHADEMA KUWA na taarifa. Mbona huelezi uozo huu ktk mahakama zetu.

Hii ni aibu. Hii ni kesi nyingine ya aibu.

Ndugu laiti ungejua mambo ya kishetani ambayo Sabaya alifanyia watu pale Hai , basi ungekaa kimya tu. Tatizo mnasikia tu mbio mnakuja mtandaoni kutoa utetezi. Sabaya alistahili kupigwa mawe hadharani.

Hivi unadhani mpaka Rais anamvua ukuu wa Wilaya na kuagiza achunguzwe hakujiridhisha na uchafu wa sabaya. Urais ni taasisi nyeti na kubwa .
Maswala ya Sabaya yana husiana vipi na Mdee.

Punguza kuhara hara hovyo mitandaoni.
 
Back
Top Bottom