Huo mzigo ni noma mamaa

Wallah uzuri wa nyumba ya kupanga chooo...na ujuwe kukitumia..sio kipoo wee wajisaidia vichochorooooni
 
Asinge bend kidogo ndo tungeuona ukweli halisi......
 
Kama zigo nililo nalo saizi
 
Sasa mkuu mbona hapo hata alivyo bend wala haija mwongezea hizo credit, hapo hata akaeje, yuko vizuri

kwani mi nimebisha mkuu?!....ila asingeinama kidogo kishuz ndo kingekuja uzuurii.....
 
Mbuzi umeniangusha mkuu vp maswala ya Temeke?
 
Subiri nimlie Noah plate kadhaa maana naskia inaongeza nguvu zetu za kule
 
Hivi wanaume wenzangu,mwanamke akiwa na shepu kama hii inasaidia nini wakati wa majambozi?Maana naona tu watu wanasifia ila sijui hizi sifa zinatumika wakati gani,au shepu tu ya kuwakoga wanaume wengine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…