Huniachi/hatuachani mpaka uninunulie gari

Huniachi/hatuachani mpaka uninunulie gari

Binti Magufuli

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2011
Posts
7,479
Reaction score
5,160
Mshikaji, swahiba na rafiki yangu amejikuta njia panda asijue LA kufanya baada ya msambinungwa/demu/girlfriend wake kupinga kitendo cha kuvunja mahusiano yao km hatanunuliwa Gari.

Kwa kifupi jamaa alimuahidi girlfriend wake ndoa mwaka huu sasa jamaa anasema gelo wale ni mnene sana.

So amemchoka bidada na anajiona hawaendani kabisa. Wakati wa mahaba nitelekeze jamaa alikolea hasa na Kosa jamaa alilofanya ni kumtumia bidada hela ya kununua kiwanja baada ya kushawishiwa na Mdada kwamba kuna ardhi nzuri mahali. Hati ya ardhi (km nusu ekari) anayo gelofrendi na amekataa kuirudisha had hapo Gari litakapopatikana.

Wanawake wamechoka kutendwa siku hizi, ukicheza tu utakuja simulia. Kwanini unaahidi ndoa wakati hujajipanga? Kwani si uombe tu gemu. Wanaume tambueni kuwa wanawake wameamua kutafuta namna ya kukabiliana na tatizo sugu LA kutendwa katiks mapenzi.

Wanawake wa Leo sio wale unamuacha anabaki kulowesha mto kwa chozi usiku kucha wa siku hizi ni wa digital.

Ukifikiria kumtenda ukajipange haswa manake lolote laweza kutokea.
 
Mshikaji, swahiba na rafiki yangu amejikuta njia panda asijue LA kufanya baada ya msambinungwa/demu/girlfriend wake kupinga kitendo cha kuvunja mahusiano yao km hatanunuliwa Gari. Kwa kifupi jamaa alimuahidi gelofrendi wake ndoa mwaka huu sasa jamaa anasema gelo wale ni mnene sana. So amemchoka bidada na anajiona hawaendani kabisa. Wakati wa mahaba nitelekeze jamaa alikolea hasa na Kosa jamaa alilofanya ni kumtumia bidada hela ya kununua kiwanja baada ya kushawishiwa na Mdada kwamba kuna ardhi nzuri mahali. Hati ya ardhi (km nusu ekari) anayo gelofrendi na amekataa kuirudisha had hapo Gari litakapopatikana.

Wanawake wamechoka kutendwa siku hizi, ukicheza tu utakuja simulia... Kwanini unaahidi ndoa wakati hujajipanga? Kwani si uombe tu gemu. Wanaume tambueni kuwa wanawake wameamua kutafuta namna ya kukabiliana na tatizo sugu LA kutendwa katiks mapenzi. Wanawake wa Leo sio wale unamuacha anabaki kulowesha MTO kwa chozi usiku kucha wa siku hizi ni wa digital. Ukifikiria kumtenda ukajipange haswa manake lolote laweza kutokea

Kwani wakata anamla huo unene hakuuona?
 
heri nisicoment,ila mwanmke hajielewi
 
Hahahahahaha,kweli huyo dada naye nukta kweli. Namshkaji naye ----- tu,amuaidi ndoa wakati anajua hata muoa, ndo shida zakuja mjini na fuso za nyanya!
 
Hahahaaaaaa ni sheeeeeder, mh cjui niipende ii hata celewi.
 
Mwanaume mpuuzi alipewa penzi tamu akaahidi ndoa sasa anajuta. Sawa na harambee ya ujenzi wa sekondari au kituo cha afya mkuu mmoja alikunywa kisawasawa kabla ya kutoa tamko. Akiwa amelewa akatamka ' nitatoa milioni 5' Watu vigelegele ululululuuuuu....! Siku ya siku wakati mkavu hajanywa, anakumbushwa ahadi aliyotoa lahaulaaa! Kidogo azimie maana alidhani ameahidi sh. laki 5!
Ndio hizo ahadi za kutolea 6x6 bora muwe beach au sitting room wakati una akili timamu aisee. Unatoa ahadi huku mmeunganisha miili yenu umekuwa,mwili mmoja akili imeishavurugika kwa utamu wa papuchi unategemea nini? Halafu simuelewi kwani kiwanja alichonunua kaambiwa ndio cha mwisho hicho hicho? Kama alipata hicho hawezi kupata kingine? Kama ni issue anunue gari amalizane na huyo bibie hakuna jinsi.
 
Kwani wakata anamla huo unene hakuuona?


Unaona raha sanaaa kuquote thrd yote eti, halafu unakomenti kitu ambacho hapakuwa na haja ya kuquote.

Kuna watu vichwa vyenu vimejaa UJI badala ya ubongo timamu
 
Wanawake wanajua gari halina gharama ukishakuwa nalo kumbe gari ni ndoa nyingine
 
Hahahaha!
That was signed contract?
 
Back
Top Bottom