Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,709
- Thread starter
- #181
Ngoja mkeo takapoenda seminar ya kikazi mkoani Arusha na kabaridi kale kwa wiki then akakutana na ex boyfriend wake kwenye hilo kongamano then akamualika nyama choma pale matongee na bia mbili tatu au a bottle of wine ndo utajua kwa nini tunaona ni bora kujipatia wako wa kupooza moyo kwani itapunguza machungu. Labda huwajui the so called women! Imagine kila ex wako ukikutana nae huwa inakuwaje? Ndo ujue na mkeo akikutana na ex wake anafanywa kitu gani!
Huwa sifanyi jambo kwa sababu nimelazimishwa au nimesababishwa kufanya!