GE2025 Humphrey Polepole: Uongozi si mali ya baba yako. Kusema mgombea ni mmoja ni makosa

GE2025 Humphrey Polepole: Uongozi si mali ya baba yako. Kusema mgombea ni mmoja ni makosa

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483

Wakati akizungumza leo Julai 18, 2025 Polepole ameeleza kuwa mchakato wa kumpitisha mgombea uliofanyika Februari haukuwa sawa.

"Mchakato wa uchaguzi unafahamika, tunatangaza ratiba. Tukitangaza ratiba tunataka watu waje kuomba. Kuomba ni unyenyekevu mana uongozi siyo mali ya baba yako"
 
View attachment 3409750
Wakati akizungumza leo Julai 18, 2025 Polepole ameeleza kuwa mchakato wa kumpitisha mgombea uliofanyika Februari haukuwa sawa.

"Mchakato wa uchaguzi unafahamika, tunatangaza ratiba. Tukitangaza ratiba tunataka watu waje kuomba. Kuomba ni unyenyekevu mana uongozi siyo mali ya baba yako"
Hana mamlaka ya kimaadili kuzungumza haya kwa rekodii yake ya nyuma. Pili, hana staha kabisa. Kwa level yake siyo wa kufanya huu uhuni.
 
Hapana. Napenda sana kukosolewa. Ila lazima tukubali kuna watu hawana mamlaka ya kimaadili leo kuzungumza hivi leo na jana vile.
Umetumia kipimo gani kujua Polepole Hana mamlaka ya kimaadili?Yule aliyebaka demokrasia ndani ya Chama na kujitangaza mgombea pekee anayo hayo mamlaka ya kimaadili?
 
Hapana. Napenda sana kukosolewa. Ila lazima tukubali kuna watu hawana mamlaka ya kimaadili leo kuzungumza hivi leo na jana vile.
Kwa sasa tusiangalie anafanya kwa sababu ya nani, madhali anachosema ni sahihi, anatetea upamde sahihi, ni ukweli uliokuwa wazi kabisa sasa nchi inaendeshwa kihuni zaidi kuliko nyakati zilizopita, taifa letu linahitaji mabadiliko makubwa, lakini hata chama tawala ndani yake wanahitaji marekebisho makubwa.

HAIWEZEKANI mtu atekwe hadharani,auawe kisha raisi aseme kifo ni kifo tu.
Mpina kaonesha ufisadi wa bashe sio kwa chuki, kaonesha jinsi gani wanahitaji maendeleo, anatolewa madarakani, sasa kama nchi hatuwezi emda hivi.
Serikali gani haitaki kuambiwa, haitaki kukosolewa,
Yenyewe inataka kusifiwa tu, hata sifa za kijinga.
Deni la taifa linapaa lakini miundombinu tqnzania ni hovyo.
Watu wachota mihela huko kwa vimemo tu..
Wacache wanajirundikia mali.
Mkuu wa wilaya kwenda kuishi hotelini, sio hoteli chumba 100k..
Tukiongea tunaambiwa tuhamie burundi, kweli... Taifa hili ni la kwao pekee yao?
 
Hana mamlaka ya kimaadili kuzungumza haya kwa rekodii yake ya nyuma. Pili, hana staha kabisa. Kwa level yake siyo wa kufanya huu uhuni.
Sawa mkuu. Sasa mwenye staha ni nani?. Huyo aliyejiteuwa kugombea urais?. Huyo anayewanyang'anya wenzake nafasi za kugombea?. Huyo aliyegundua jana kwamba MIKOPO HAIFAI ilhali deni tayari lipo juu huku hapo awali akitupilia mbali ushauri wa Ndugai? Huyo ambaye... Tulipofikia, tunahitaji watu kama akina Polepole bila kuangalia rekodi zao za nyuma kwamba walifanyaje au walikosea nini. Nawapongeza wana ccm mliosema na mnaosema HAPANA. Polepole aliwahi kusema kwamba ccm kuna WAHUNI.
 
Back
Top Bottom