Dr. Mvungi alikuwa kikwazo kwa haya wanayotaka CCM hii leo ili kuondoa udhia WAKAMUA ushahidi wa kuhusika huku kwa hawa jamaa ni ile movie ya KOVA kwenda kwenye vyombo vya habari na kuonyesha Bendera na Kofia zenye rangi za CDM kuwa ndio walizokamatwa nazo wahusika wa tukio lile lakini baadae tukasikia matamko kuwa Familia na wahusika wamesamehe mungu atawahukumu waliohusika na ndio ukawa mwisho wa ufuatiliaji wa tukio lile na hata wale tulioambiwa wamekamatwa sijawahi kusikia mwendelezo wa kesi ile.
Kwa hiki anachokifanya bwn polepole ni vema akajilinda na hawa wauaji kwani wanaweza kumziba mdomo kwa kumkatisha uhai wake ili waendelee na hizi sarakasi zao za kupindua maoni ya wananchi na hapa ndipo ninapoona uhalisia wa hili jina CHAMA CHA MAPINDUZI