Humphrey Polepole ni nani?

Heee kumbe wahuni wapo kitambo
 
Kova anaendeleaje huko alipo?
 
Huyu mwamba bila mapendeleo kaiva - TAL type hazina kubwa kwa taifa hili, na kawakamata wahuni pabaya.
Asante sana brazaj kwa hii kumbukumbu. Nimeisoma mwanzo hadi mwisho. Kidogo kidogo naanza kumwelewa Camarada Polepole...

Hivi Dr. Mvungi aliuliwa awamu gani vile? Naanza kuconnect the dots!
 
Huyu kwangu namwita kijana shujaa katikati ya wanyama wakali na mchukulia kama kijana wakuingwa ndani ya taifa letu Tanganyika aka Tanzania ni hazina kubwa sana hongera sana kijana Polepole.
Pole Pole yupo mbele ya muda. Sema alipata ajali mbaya kwa kukubali kufanya kazi za ccm.
 
Polepole ni hazina inayopaswa kulindwa, anapambana kisawasawa na upotoshaji unafanywa na wapuuzi wasiyoitakia mema nchi hii.

Bila shaka ameshajenga uadui kati yake na majambazi hawa. Mungu amlinde daima.
hapa ameshayabananga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…