Humphrey Polepole ni nani?

Napitia huu Uzi
 

Huyu mwamba bila mapendeleo kaiva - TAL type hazina kubwa kwa taifa hili, na kawakamata wahuni pabaya.
 
Huyu mwamba bila mapendeleo kaiva - TAL type hazina kubwa kwa taifa hili, na kawakamata wahuni pabaya.
Kajamaa huwa sijui kanajiamini nini. 2022 kabla ya kuwa balozi, aliitwa na kamati ya nidhamu ya ccm sababu ya ukosoaji wake. Akasema ccm hakuna mwenye ubavu wa kumfukuza labda litokee jitu lenye miguvu sana, na atamtolea dirishani.

Sikujua kwann ccm hawakumfukuza kweli
 

Hawa ndiyo wale vijana jeuri, TAL type akiwaongelea Nyerere kuwa taifa linawahitaji. Siyo siri jamaa kama TAL tu, yuko njema!
 
Polepole ni hazina inayopaswa kulindwa, anapambana kisawasawa na upotoshaji unafanywa na wapuuzi wasiyoitakia mema nchi hii.

Bila shaka ameshajenga uadui kati yake na majambazi hawa. Mungu amlinde daima.
Ameen
 
Polepole ni hazina inayopaswa kulindwa, anapambana kisawasawa na upotoshaji unafanywa na wapuuzi wasiyoitakia mema nchi hii.

Bila shaka ameshajenga uadui kati yake na majambazi hawa. Mungu amlinde daima.
Naam!
 
Naam!
 
Polepole
 
That one is a genious, siku zote anajua anachokifanya na angekua mtu wa kupenda sifa watu wangeshamskia kwenye siasa but he keeps a low profile ila ukipata nafasi ya kufanya nae kazi utajua kwamba ni kichwa tofauti sana..
Naam!
 
Halafu linatokea mtu eti ni mwanaharakati kisa kawashika vibaya wanamtandao
 
Alianza kitambo sana
 
Naam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…