Humphrey Polepole anapotosha kuhusu mahusiano ya ZEC na NEC

Humphrey Polepole anapotosha kuhusu mahusiano ya ZEC na NEC

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
12,276
Reaction score
38,847
Huyu mtu sijui hata anachosimamia! Jioni nilimuona TBC1 akipotosha jamii kuwa tume ya uchaguzi ya Zanzibar-ZEC ilikuwa na haki ya kuvunja uchaguzi na kuufuta kwa kuwa eti Maalim Seif hakuwa halali kujitangaza kuwa mshindi!

Muda huu anapotosha jamii kuwa uchaguzi unaosimamiwa na ZEC hauna mamlaka juu ya NEC na kwa Zanzibar kila tume yaani (NEC na ZEC) inajitegemea! Huyu mtu simply namuita mjinga.

Huwezi kutofautisha ZEC na NEC kwa upigaji kura wa rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa watu wa Zanzibar kwani mpiga kura ni yuleyule!

ZEC akilalamika kuongezeka idadi ya kura kuliko wapiga kura hata NEC atakuwa ameathirika!

Aache kutumia vituo vya televisheni kupotosha jamii! Huyu alifukuzwa chanel 10 kutokana na hoja za kijinga anazojenga.

Leo yupo TBC1kuanzia saa tisa alasiri hadi sasa saa nne usiku na anaongea ujinga.
 
Nafikiri ifike kipindi hizi tv station zetu zisilete ushabiki wa kisiasa kwa watu ambao sio wanasiasa. Maana kila mtu ajisikia anaomba air time ktk tv station na kubwabwaja tu. Tena ni aibu kwa Tv station ya Taifa kukaribisha watu wapuuzi puuzi.
 
Huyu mtu sijui hata anachosimamia! Jioni nilimuona TBC1 akipotosha jamii kuwa tume ya uchaguzi ya Zanzibar-ZEC ilikuwa na haki ya kuvunja uchaguzi na kuufuta kwa kuwa eti Maalim Seif hakuwa halali kujitangaza kuwa mshindi!

Muda huu anapotosha jamii kuwa uchaguzi unaosimamiwa na ZEC hauna mamlaka juu ya NEC na kwa Zanzibar kila tume yaani (NEC na ZEC) inajitegemea! Huyu mtu simply namuita mjinga.

Huwezi kutofautisha ZEC na NEC kwa upigaji kura wa rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa watu wa Zanzibar kwani mpiga kura ni yuleyule!

ZEC akilalamika kuongezeka idadi ya kura kuliko wapiga kura hata NEC atakuwa ameathirika!

Aache kutumia vituo vya televisheni kupotosha jamii! Huyu alifukuzwa chanel 10 kutokana na hoja za kijinga anazojenga.

Leo yupo TBC1kuanzia saa tisa alasiri hadi sasa saa nne usiku na anaongea ujinga.
Tuliza tako sindano iingie vizuri kijana. Kesho rais wako Dr Magufuli anaapishwa!
 
Pole pole ni mwanaharakati msomi, hatetei ujinga huyu kaka...anajiamini na anajua vizuri siasa na sheria zake...wewe acha ujinga wako wa kukurupuka kisa ushabiki wa vyama...kesho mtanyooka...kama vipi tukutane Mahakamani.MUNGU IBARIKI TANZANIA YETU
 
mawakala wa zec ndio mawakala wa nec kwa zanzibar,kwamba zec ndio inayoiwakilisha nec kwa upande wa zanzibar,kwa hio athari zozote wanazopata zec zanzibar ndio athari watakazopata nec kwa upande wa zanzibar ambao ni upande wa jamhuri ya muungano
 
Huyu mtu sijui hata anachosimamia! Jioni nilimuona TBC1 akipotosha jamii kuwa tume ya uchaguzi ya Zanzibar-ZEC ilikuwa na haki ya kuvunja uchaguzi na kuufuta kwa kuwa eti Maalim Seif hakuwa halali kujitangaza kuwa mshindi!

Muda huu anapotosha jamii kuwa uchaguzi unaosimamiwa na ZEC hauna mamlaka juu ya NEC na kwa Zanzibar kila tume yaani (NEC na ZEC) inajitegemea! Huyu mtu simply namuita mjinga.

Huwezi kutofautisha ZEC na NEC kwa upigaji kura wa rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa watu wa Zanzibar kwani mpiga kura ni yuleyule!

ZEC akilalamika kuongezeka idadi ya kura kuliko wapiga kura hata NEC atakuwa ameathirika!

Aache kutumia vituo vya televisheni kupotosha jamii! Huyu alifukuzwa chanel 10 kutokana na hoja za kijinga anazojenga.

Leo yupo TBC1kuanzia saa tisa alasiri hadi sasa saa nne usiku na anaongea ujinga.

Wewe haujui lolote na ni lofa.Chaguzı hz mbili zinatumia maafisa tofautı na madaftari tofauti ya wapga kura.Pia vifaa ni tofauti maafısa wanawajibika kwa mamlaka tofauti.
 
Mtanyooka tu,wewe ndo huelewi,rudi shule kijana ukasome somo la uraia,kesho ndo mtajiharishia kabisa
 
Alishashindwa huyo, hana ushawishi tena kwenye jamii ya tz, uhalali amepoteza acha ajizeeshe kwa makelele yasiyo na tija kwa wajukuu zake wajao
 
1446063417919.jpg hii ni halali pia Kabla ya matokeo?
 
Hivi huyu polepole anatutafuta mini watanzania? Mbona anajifanya kila kitu hapa duniani anakijua?
 
Inakera kuona uchaguzi zenji umebatilishwa kirahisi hata umiss Tanzania wa sitti ulikuwa iishu
 
Hivi huyu polepole anatutafuta mini watanzania? Mbona anajifanya kila kitu hapa duniani anakijua?

Anawafundisha sheria, nyie malofa mnaejitoa ufahamu kwenye kila jambo!!
 
Mkisikia wakubwa wanawambia kaa msikilize na muelewe. Muda wa matusi umeisha na Edo kalambishwa sakafu.

Tujenge taifa letu.
Huyu mtu sijui hata anachosimamia! Jioni nilimuona TBC1 akipotosha jamii kuwa tume ya uchaguzi ya Zanzibar-ZEC ilikuwa na haki ya kuvunja uchaguzi na kuufuta kwa kuwa eti Maalim Seif hakuwa halali kujitangaza kuwa mshindi!

Muda huu anapotosha jamii kuwa uchaguzi unaosimamiwa na ZEC hauna mamlaka juu ya NEC na kwa Zanzibar kila tume yaani (NEC na ZEC) inajitegemea! Huyu mtu simply namuita mjinga.

Huwezi kutofautisha ZEC na NEC kwa upigaji kura wa rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa watu wa Zanzibar kwani mpiga kura ni yuleyule!

ZEC akilalamika kuongezeka idadi ya kura kuliko wapiga kura hata NEC atakuwa ameathirika!

Aache kutumia vituo vya televisheni kupotosha jamii! Huyu alifukuzwa chanel 10 kutokana na hoja za kijinga anazojenga.

Leo yupo TBC1kuanzia saa tisa alasiri hadi sasa saa nne usiku na anaongea ujinga.
 
Huyu mtu sijui hata anachosimamia! Jioni nilimuona TBC1 akipotosha jamii kuwa tume ya uchaguzi ya Zanzibar-ZEC ilikuwa na haki ya kuvunja uchaguzi na kuufuta kwa kuwa eti Maalim Seif hakuwa halali kujitangaza kuwa mshindi!

Muda huu anapotosha jamii kuwa uchaguzi unaosimamiwa na ZEC hauna mamlaka juu ya NEC na kwa Zanzibar kila tume yaani (NEC na ZEC) inajitegemea! Huyu mtu simply namuita mjinga.

Huwezi kutofautisha ZEC na NEC kwa upigaji kura wa rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa watu wa Zanzibar kwani mpiga kura ni yuleyule!

ZEC akilalamika kuongezeka idadi ya kura kuliko wapiga kura hata NEC atakuwa ameathirika!

Aache kutumia vituo vya televisheni kupotosha jamii! Huyu alifukuzwa chanel 10 kutokana na hoja za kijinga anazojenga.

Leo yupo TBC1kuanzia saa tisa alasiri hadi sasa saa nne usiku na anaongea ujinga.

Wakati ule yupo pamoja nanyi anatetea katiba ya Warioba mlimuita mosomi na mkombozi ila leo mnamuita mjinga kisa amehama kule mlipo,
Kweli alie warog' bavicha ameshafariki kitambo,sasa mara zote mko huku na huku,
Wakati Lowasa yupo CCM mlimuita fisadi ila alipohamia CDM amebadilika nakua mkombozi!Hongereni Bavichagadema.
 
Mtanyooka tu,wewe ndo huelewi,rudi shule kijana ukasome somo la uraia,kesho ndo mtajiharishia kabisa

Wee kilaza unafikiri Magufuli atakuwa Raisi wa CCM ? Magufuli atatakiwa awahudumie Watanzania wote waliompinga na wasiompinga ,hivyo acha ushabiki wa kwenye vilabu vya Chibuku.Yeye ndio atanyooka Sisi Watanzania tunataka Maendeleo tuu..Ukawa,CCM ,Chauma,wote .
 
Huyu mtu sijui hata anachosimamia! Jioni nilimuona TBC1 akipotosha jamii kuwa tume ya uchaguzi ya Zanzibar-ZEC ilikuwa na haki ya kuvunja uchaguzi na kuufuta kwa kuwa eti Maalim Seif hakuwa halali kujitangaza kuwa mshindi!

Muda huu anapotosha jamii kuwa uchaguzi unaosimamiwa na ZEC hauna mamlaka juu ya NEC na kwa Zanzibar kila tume yaani (NEC na ZEC) inajitegemea! Huyu mtu simply namuita mjinga.

Huwezi kutofautisha ZEC na NEC kwa upigaji kura wa rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa watu wa Zanzibar kwani mpiga kura ni yuleyule!

ZEC akilalamika kuongezeka idadi ya kura kuliko wapiga kura hata NEC atakuwa ameathirika!

Aache kutumia vituo vya televisheni kupotosha jamii! Huyu alifukuzwa chanel 10 kutokana na hoja za kijinga anazojenga.

Leo yupo TBC1kuanzia saa tisa alasiri hadi sasa saa nne usiku na anaongea ujinga.
Haya mtoto mzuri njoo uchkue ndimu ulambe ili utunze hako ka mimba ka Polepole. Eti e?
 
Back
Top Bottom