Fanya homework yako vizuri. Pole pole anakula maisha swaafi.Tangu atolewe kwenye Ukatibu wa Itikadi na Uenezi akili yake haijatulia kabisa.
Ni kama anafanya vitu kwa kulazimisha ili kuupa furaha moyo wake. Je, anaweza kuwa amepatwa na tatizo gani?
Au ni msongo wa mawazo 'depression'?
Wataalam wa saikolojia na magonjwa ya akili tupeni somo hapa.
mama D nakumbuka wakati watu wanahoji alipo r.i.p jpm mlikuwa mnasema yupo ikulu anachapa kazi kumbe amelazwa hospitali ya mzena. sasa mwangalieni na huyu mnayesema yuko sawa msije mkashangaa siku moja mtakapoambiwa yupo ile hospitali maarufu pale dodoma akipatiwa matibabuHajaanza leo, muone hapa 2yrs ago
Ni furaha yake tuu
Anawazodoa walipa Tozo wote, ambao manaona ana stress wakati kila mwisho wa mwezi ana kunja 12 millioni bila kodi, 2025 anarudi kwa nguvu zote. Mama anapasua anga, wao ndio wapo mgodini kuzichuma kujiandaa na mtanange wa 2025.Mbona namuona yupo sawa,,angekaa kimya mngesema MaTaga wanakomeshwa,,akiongea na kutupia ma-video mnasema ana depression 🤣🤣🤣..sasa afanyaje?
This is compassion. Responding to a stressfull condition trying to neutralize situations. Usually it is overperformed.Tangu atolewe kwenye Ukatibu wa Itikadi na Uenezi akili yake haijatulia kabisa.
Ni kama anafanya vitu kwa kulazimisha ili kuupa furaha moyo wake. Je, anaweza kuwa amepatwa na tatizo gani?
Au ni msongo wa mawazo 'depression'?
Wataalam wa saikolojia na magonjwa ya akili tupeni somo hapa.
😅😅😅hapo kwenye MibeduiHilo ni miongoni mwa ile mibedui iliyokuwa inanufaika na yule mungu aliyekufa sasa wamechanganyikiwa
Matatizo yalianzua hapo.Hajaanza leo, muone hapa 2yrs ago
Ni furaha yake tuu
Na hizo clip za kucheza muziki amekuwa akizituma toka enzi hizo, wasidanganye watu kuwa kaanza kipindi hikiMleta mada hebu acha kutupotezea muda wetu. Sasa hapo cha ajabu nini? Tunaishi kwenye zama za mitandao na watu kutuma video zao, hasa vijana ni kitu cha kawaida. Polepole bado ni kijana sana mwache afurahie maisha yake.
Exactly... Kuna siku nimewahi kuwaza hivi angetumbuliwa jumla na akaachwa kitaa si angeweza kudata huyu??Ni depression.. na maumivu ya moyo
Anafanya hivyo ili watu wamuone yupo okey
Jamani mwacheni apumzike,aliongea sanaTangu atolewe kwenye Ukatibu wa Itikadi na Uenezi akili yake haijatulia kabisa.
Ni kama anafanya vitu kwa kulazimisha ili kuupa furaha moyo wake. Je, anaweza kuwa amepatwa na tatizo gani?
Au ni msongo wa mawazo 'depression'?
Wataalam wa saikolojia na magonjwa ya akili tupeni somo hapa.
Huyu siku zote ni mwehu japo alikuwa na madaraka sijui kwanini hawakuliona hili.CCM hoyee ipi wakati ni unafiki mtupu?Tangu atolewe kwenye Ukatibu wa Itikadi na Uenezi akili yake haijatulia kabisa.
Ni kama anafanya vitu kwa kulazimisha ili kuupa furaha moyo wake. Je, anaweza kuwa amepatwa na tatizo gani?
Au ni msongo wa mawazo 'depression'?
Wataalam wa saikolojia na magonjwa ya akili tupeni somo hapa.
ChakubangaTangu atolewe kwenye Ukatibu wa Itikadi na Uenezi akili yake haijatulia kabisa.
Ni kama anafanya vitu kwa kulazimisha ili kuupa furaha moyo wake. Je, anaweza kuwa amepatwa na tatizo gani?
Au ni msongo wa mawazo 'depression'?
Wataalam wa saikolojia na magonjwa ya akili tupeni somo hapa.