Humphey Polepole ateuliwa kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu itikadi na uenezi

Humphey Polepole ateuliwa kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu itikadi na uenezi

Inside10

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2011
Posts
33,615
Reaction score
40,163
Ni katika nafasi ya KATIBU wa itikadi na uenezi.
Kila LA kheri Mh polepole kwenye majukumu mapya ya chama

=======
Kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) kimemteua Ndg Humphrey Polepole kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu Itikadi na Uenezi.

was.png


Makada wengine waliowahi kuwa Makatibu wa Halmashauri Kuu Itikadi na Uenezi soma
 
eeeh mchuma janga hula na wa kwao
 
Back
Top Bottom