Human resources wote mrekebishe hii kadhia

Human resources wote mrekebishe hii kadhia

Babu Ubwete

Senior Member
Joined
Jan 26, 2008
Posts
169
Reaction score
31
Kumekuwa na Utaratibu mbovu sana wa kurecruit watu hasa pale Organisation husika inapotoa mlolongo wa hatua mfano US Embassy wao wanataka ujaze Persona History Form yenye page si chini ya 15, UN agencies, wengine kama PPF na TRA mnaweka website employment portal ambazo hazi respond. Nimewahi kuona kwenye The East African Newspaper kazi moja ya US Embassy Nairobi au Sudani unatuma email na CV tuu. Wengine wapuuzi mpaka leaving certificate ya Primary school huku ni kupotezeana muda na muda ni malighafi.

Wengine kila baada ya miezi miwili mnatoa matangazo ya kazi wakati kumbe ni 'Publicity Stunt' Tumeonekane mnaaajiri sana mfano AfBarrick Gold,Precision Air, Sunda na kampuni zingine za magumashi.

Najua Ma HR huwa mnapitia humu ndio maana @ Lucy Mbogoro umeshukuru watu walivyoifagilia Low Cost Airline yenu.

Nawasilisha.....
 
Kumekuwa na Utaratibu mbovu sana wa kurecruit watu hasa pale Organisation husika inapotoa mlolongo wa hatua mfano US Embassy wao wanataka ujaze Persona History Form yenye page si chini ya 15, UN agencies, wengine kama PPF na TRA mnaweka website employment portal ambazo hazi respond. Nimewahi kuona kwenye The East African Newspaper kazi moja ya US Embassy Nairobi au Sudani unatuma email na CV tuu. Wengine wapuuzi mpaka leaving certificate ya Primary school huku ni kupotezeana muda na muda ni malighafi.

Wengine kila baada ya miezi miwili mnatoa matangazo ya kazi wakati kumbe ni 'Publicity Stunt' Tumeonekane mnaaajiri sana mfano AfBarrick Gold,Precision Air, Sunda na kampuni zingine za magumashi.

Najua Ma HR huwa mnapitia humu ndio maana @ Lucy Mbogoro umeshukuru watu walivyoifagilia Low Cost Airline yenu.

Nawasilisha.....
unapenda ubwete...........kila ofisi ina recruitment policy yake usiwapangie unavyotaka wewe!
 
Kumekuwa na Utaratibu mbovu sana wa kurecruit watu hasa pale Organisation husika inapotoa mlolongo wa hatua mfano US Embassy wao wanataka ujaze Persona History Form yenye page si chini ya 15, UN agencies, wengine kama PPF na TRA mnaweka website employment portal ambazo hazi respond. Nimewahi kuona kwenye The East African Newspaper kazi moja ya US Embassy Nairobi au Sudani unatuma email na CV tuu. Wengine wapuuzi mpaka leaving certificate ya Primary school huku ni kupotezeana muda na muda ni malighafi.

Wengine kila baada ya miezi miwili mnatoa matangazo ya kazi wakati kumbe ni 'Publicity Stunt' Tumeonekane mnaaajiri sana mfano AfBarrick Gold,Precision Air, Sunda na kampuni zingine za magumashi.

Najua Ma HR huwa mnapitia humu ndio maana @ Lucy Mbogoro umeshukuru watu walivyoifagilia Low Cost Airline yenu.

Nawasilisha.....
Ujumbe wako ni kwa Human Resources? Wewe mwenyewe siyo human resource? Au uliwalenga HR Managers? Haya matatizo ya kujichanganya tunakutana nayo mengi katika barua zenu za kuaomba kazi. Kwa mfano, Advance Diploma badala ya Advanced Diploma. Kwani diploma zinatolewa kwa awamu kama mikopo?
 
Ujumbe wako ni kwa Human Resources? Wewe mwenyewe siyo human resource? Au uliwalenga HR Managers? Haya matatizo ya kujichanganya tunakutana nayo mengi katika barua zenu za kuaomba kazi. Kwa mfano, Advance Diploma badala ya Advanced Diploma. Kwani diploma zinatolewa kwa awamu kama mikopo?

Acha ushabiki Jamaa yuko sahihi
 
Ujumbe wako ni kwa Human Resources? Wewe mwenyewe siyo human resource? Au uliwalenga HR Managers? Haya matatizo ya kujichanganya tunakutana nayo mengi katika barua zenu za kuaomba kazi. Kwa mfano, Advance Diploma badala ya Advanced Diploma. Kwani diploma zinatolewa kwa awamu kama mikopo?

acha upuuzi kenge ww
 
Ujumbe wako ni kwa Human Resources? Wewe mwenyewe siyo human resource? Au uliwalenga HR Managers? Haya matatizo ya kujichanganya tunakutana nayo mengi katika barua zenu za kuaomba kazi. Kwa mfano, Advance Diploma badala ya Advanced Diploma. Kwani diploma zinatolewa kwa awamu kama mikopo?

advance zimekuwa boom naona
 
HR managers and others, chukueni hii kama changamoto na muifanyie kazi,kiukweli wengi mmepauka kimawazo ya kisomi and you need to attend some courses ili muendane na wakati,tofauti na hapo bado sana......mnawatesa vijana wa taifa hili.
 
Kumekuwa na Utaratibu mbovu sana wa kurecruit watu hasa pale Organisation husika inapotoa mlolongo wa hatua mfano US Embassy wao wanataka ujaze Persona History Form yenye page si chini ya 15, UN agencies, wengine kama PPF na TRA mnaweka website employment portal ambazo hazi respond. Nimewahi kuona kwenye The East African Newspaper kazi moja ya US Embassy Nairobi au Sudani unatuma email na CV tuu. Wengine wapuuzi mpaka leaving certificate ya Primary school huku ni kupotezeana muda na muda ni malighafi.

Wengine kila baada ya miezi miwili mnatoa matangazo ya kazi wakati kumbe ni 'Publicity Stunt' Tumeonekane mnaaajiri sana mfano AfBarrick Gold,Precision Air, Sunda na kampuni zingine za magumashi.

Najua Ma HR huwa mnapitia humu ndio maana @ Lucy Mbogoro umeshukuru watu walivyoifagilia Low Cost Airline yenu.

Nawasilisha.....

Kampuni nyingine yenye magumashi inaitwa UTRACK FLEET MANAGEMENT
 
Iyo ni chuki binafsi na uvivu wako tu wa kuapply kama hao TRA hawana shida hiyo system wala sio ngumu na kutorespond ni tatizo la mtandao unao tumia tu na wala haiitaji kuweka cv wala maqualification yasiyo na msingi we kama unaqualify utaitwa tu ila kama unaomba post ihali unajua hauqualify ila tu kwa ubishi wako tu unaomba (ndokawaida yetu) unadhani utaitwa?.
 
Back
Top Bottom