Dunia ya mapenzi imejaa confusion
Unayempenda anakuona sio hadhi yake na usiyempenda ndo anakubana Kama lulu.
Unaweza kujitapa katika uzi huu ila niukweli usiopingika mpenzi uliyenaye hata Kama anajifanya anakupenda kiukweli wewe hukuwa his /her first choice kwake ila aliposhindwa kupata alichokitaka ndo akaamua kukubali matokeo akawa wako.
Kila couple unayoifahamu kuna mmoja alicompromize viwango vyake ili muwe wote.
Wewe hushangai kwa mambo yote unayofanya ili mwenza alizike ila kila unavyojitahidi mwenzio haonyeshi hata kutikisika na kuelewa mziki unaouimba
Usijihukumu sana, ukweli haukuwa chaguo lake la Kwanza ila ni destiny tu ndo ziliwaweka pamoja.
Usijichukie mwenza anapochepuka, tambua tu huna kile alichokua anakitafuta cha kumtuliza tuliiii kwenye mahusiano. Ndo maana anakitafuta huko nje.
Usilie, maisha ndo yalivyo
Tunapata tulivyojaliwa na sio tunavyovitaka.
Regards
Sent using Jamii Forums mobile app
Unayempenda anakuona sio hadhi yake na usiyempenda ndo anakubana Kama lulu.
Unaweza kujitapa katika uzi huu ila niukweli usiopingika mpenzi uliyenaye hata Kama anajifanya anakupenda kiukweli wewe hukuwa his /her first choice kwake ila aliposhindwa kupata alichokitaka ndo akaamua kukubali matokeo akawa wako.
Kila couple unayoifahamu kuna mmoja alicompromize viwango vyake ili muwe wote.
Wewe hushangai kwa mambo yote unayofanya ili mwenza alizike ila kila unavyojitahidi mwenzio haonyeshi hata kutikisika na kuelewa mziki unaouimba
Usijihukumu sana, ukweli haukuwa chaguo lake la Kwanza ila ni destiny tu ndo ziliwaweka pamoja.
Usijichukie mwenza anapochepuka, tambua tu huna kile alichokua anakitafuta cha kumtuliza tuliiii kwenye mahusiano. Ndo maana anakitafuta huko nje.
Usilie, maisha ndo yalivyo
Tunapata tulivyojaliwa na sio tunavyovitaka.
Regards
Sent using Jamii Forums mobile app