Hukumu ya kesi ya uchaguzi Igunga


Mkuu, uchaguzi ukiitishwa magufuli ataendelea na ujenzi! Mambo kwa timing! Tena ataendea mwenyewe KUZINDUA ujenzi huo!
 
Ni kweli ilikuwa imepangwa tarehe 20/08 na hata ukiangalia kalenda wengi walifikiri idd itaangukia tarehe 21/08 ni kitu kilichotokea nje ya uwezo wa kawaida wa binadamu tuiachie mahakama itoe maamuzi yake.Si sahihi kuanza kujipangia hukumu itakuwa namna gani labda tujiulize huyo Magufuli aliyesema ana ed ya mwezi mzima ni kweli alikuwa mgonjwa au alikuwa anaogopa kuumbuka mahakamani.
 
Unajua kuna sikukuu ambazo huwezi kuwa na uhakika zitaangukia tarehe gani.

unaonekana upo simpo, ila nahisi umesheheni shari tupu. Bw. Mchokozi, ni hivi, sikukuu ya IDD inategemea mwezi mwandamo na sio tarehe za kupangwa na binadamu. na anayeendesha na kutawalia mambo ya kimaumbile ya kidunia ni aliyeumba mwenyewe, yaani ALLAH SUB'HANNAH WATAALA / MWENYEZI MUNGU, yeye ndiye aliyeu-umba huo mwezi na kuufanya uandame kwa wakati atakao yeye. HAUHITAJI KUWAZA KISHARISHARI, eti "Unajua kuna sikukuu ambazo huwezi kuwa na uhakika zitaangukia tarehe gani " unataka ujue ili iweje??? inakuhusu??? anayejua ni yeye aliyeu-umba huo mwezi, wala hata usihangaike kujitafutia unnecessary stresses kwa mambo usiyo na uwezo nayo. kwani wewe unayoyajua ni mangapi?? mbona mengi tu huyajui mkuu, POLE SANA.
 
Kwa taarifa zilizopo hukumu ni tarehe 21.08.2012(Jumanne) na kuhusu Magufuli baada ya kugoma kwenda Mahakamani kutoa ushahidi alionekana Nzega siku chache baada ya tukio hilo la kugoma na tumebaki na maswali ya kujiuliza alikwenda kufanya nini au alitumwa salamu za Mkubwa kwa JAJI?
 
Nasikia magwanda wamefunguwa na kesi ya kupinga matokeo ya Uzini, wanasema wameibiwa kura zao ilikuwa washinde!
 
Magufuli alijipeleka kuonana na Jaji Faragha baada ya kupangwa tarehe za hukumu sijui aliongea nini na Jaji tusubiri tuone kitakacho tokea hapo 21.08.2012
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…