Nitakubip kesho baada ya hukumu kukujulisha!huyu jamaa apewe ban tu...
Tunachohitaji ni haki itendeke na si mahakama ifanye kazi kwa utashi wa watu au kikundi fulani.
Imefikia wakati mtandao huu unatumiwa vibaya- watu wanapost mambo ambayo hayana tija. Mfano ni post hiyo hapo juu. Ombi langu kwa moderators ni kuwa post kama hizi zisipate nafasi katika jamii forum tena.
jimbo la Ukonga katu halitaenda upinzani,kama huamini subiri utaona kuna mpango kabemva wa Magamba kurudisha majimbo yote ya Dar Subiri utaona Ubungo.
Kesho ndiyo ile kesi ya
makongoro na mpendazoe mm binafs nina uwakika wa chadema kushinda
kudhihirisha hilo nitabeba bendera na vuvuzela la chadema na kutinga
nalo mahakamani kesho asubuhi mida ya saa nne wewe je?