kbosho
JF-Expert Member
- Jun 4, 2012
- 13,073
- 6,639
Huku wilayani na Vijiji kila mtu ni Lowassa tu...... Watu wa kada zote wanasema kura zao ni kwa Lowassa!
Hata kwa makada wa CCM wanasema ubunge ni CCM ila urais ni Lowassa tu.
Nimeyajuwa haya kutokana na nature ya kazi yangu, napita vijiji vingi.
Ningependa kujuwa hali ya huko Mijini?.....nijuzeni!!!
Hata kwa makada wa CCM wanasema ubunge ni CCM ila urais ni Lowassa tu.
Nimeyajuwa haya kutokana na nature ya kazi yangu, napita vijiji vingi.
Ningependa kujuwa hali ya huko Mijini?.....nijuzeni!!!