Desprospero
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 915
- 2,251
HAKUNA WATU WAPUUZI NCHI HII KM WALIMU NA BODABODANchi hii Kuna mambo ya ajabu sana yanayoratibiwa na CCM. Tumewahi kuambiwa Kuna chawa wa CCM. Leo hapa Arusha waendesha boda-boda wanaitwa wadudu wa Rais Samia Suluhu Hassan nao wanashangilia kuitwa wadudu, dah! Tutafika tumechoka sana. Huku chawa kule wadudu.
Wadudu sio bodabodaNchi hii Kuna mambo ya ajabu sana yanayoratibiwa na CCM. Tumewahi kuambiwa Kuna chawa wa CCM. Leo hapa Arusha waendesha boda-boda wanaitwa wadudu wa Rais Samia Suluhu Hassan nao wanashangilia kuitwa wadudu, dah! Tutafika tumechoka sana. Huku chawa kule wadudu.
Hahaahaha wadudu kweli ndiyo maana hata akili zao zipo kama wadudu siku zote utaishi kama ulivyojitamkiaNchi hii Kuna mambo ya ajabu sana yanayoratibiwa na CCM. Tumewahi kuambiwa Kuna chawa wa CCM. Leo hapa Arusha waendesha boda-boda wanaitwa wadudu wa Rais Samia Suluhu Hassan nao wanashangilia kuitwa wadudu, dah! Tutafika tumechoka sana. Huku chawa kule wadudu.
πππππππHAKUNA WATU WAPUUZI NCHI HII KM WALIMU NA BODABODA
Aisee mbona unawaita waalimu wapuuzi?HAKUNA WATU WAPUUZI NCHI HII KM WALIMU NA BODABODA
Nimesema huko nyuma Leo walimu wamekwenda kazini huku wakijua ni mei mosi hivi watu hawa unawaweka kwenye kundi gani ?Aisee mbona unawaita waalimu wapuuzi?
Huna akili.HAKUNA WATU WAPUUZI NCHI HII KM WALIMU NA BODABODA
Kwanza we siyo raia wa nchi hii rudi kwenuNchi hii Kuna mambo ya ajabu sana yanayoratibiwa na CCM. Tumewahi kuambiwa Kuna chawa wa CCM. Leo hapa Arusha waendesha boda-boda wanaitwa wadudu wa Rais Samia Suluhu Hassan nao wanashangilia kuitwa wadudu, dah! Tutafika tumechoka sana. Huku chawa kule wadudu.
Huko mtaani wanakaba watu na kuua kwa visu halafu et wanarasimishwa! Wanakufa kwa kukimbia na pikipiki kama kuku!Tumefika sehemu ya kuwa taifa la ajabu na la kutia aibu. Hao wadudu wanapata wasaa wakupita mbele ya halaiki kama wageni rasmi kwenye maonyesho ya siku ya wafanyakazi. Tunapoelekea ni kubaya sana
KUwa na adabu na walimu.Kwaniaba ya walimu wote ninasema mpuuzi mwenyeweHAKUNA WATU WAPUUZI NCHI HII KM WALIMU NA BODABODA
πππππHAKUNA WATU WAPUUZI NCHI HII KM WALIMU NA BODABODA