Siku ya pili sasa huku mtaana kwetu naona viongozi wa mitaa na wananchi eti wanaandikishana, nilivyouliza wanasema kuna hela zinatolewa na nchi za nje so kila kaya itagawiwa hizo pesa.
Mimi nimeshindwa kuelewa kweli kuna nchi inataka kugawa hela?
siku ya pili sasa huku mtaana kwetu naona viongozi wa mitaa na wananchi et wanaandikishana nilivyouliza wanasema kuna hela zinatolewa na nchi za nje so kila kaya itagawiwa hizo pesa mimi nimeshindwa kuelewa kwel kuna nchi inataka kugawa hela?